Tuesday, January 22, 2019

KANISA LA KATOLIKI NI SERIKALI ILIYOKAMILIKA


MAREKANI NDIO KIRANJA WA DEMOKRASIA DUNIANI
KANISA  LA KATOLIKI NI SERIKALI ILIYOKAMILIKA 

Mfumo huu wa kiungozi/kiutawala ndio mfumo unaotumika na mataifa mengi hivi sasa,ni mwaka wa 500 sasa tangu kuasisiwa kwake,ni mfumo umejikita na kujidhatiti kuliko kawaida.Ukienda kinyume kwa kuupinga basi unaonekana msaliti,hivyo hatua kali zitachukuliwa dhidi yako,nchi yoyote ama taifa lolote lile litakalokwenda kinyume na mfumo huu unaofahamika kama Demokracy basi litatengwa na kuwekewa Vikwazo vya kiuchumi na kidiplomasia kama Zimbabwe,Uganda,Rwanda,Sudani Kaskazini,Venezuela,Congo BlazzaVille,Equotoria Guinea, Korea Kaskazini Iran,Syria Palestina pamoja na Urusi japo natambua kuna Sababu nyingi zinazopelekea taifa husika kuwekewa Vikwazo lakini Sababu kubwa ni Utawala Bora na wenye kufuata Sheria (Rule of Law) na hiyo ni Moja ya Nguzo kuu ya kile kinachoitwa Democracu.


Mfumo huu ulikuwepo hapo mwanzo karne ya 5 uko ugiriki na baadae kuenea maaneo mengine hususani bara la Ulaya karne ya 17-19 ,mfumo huu unatambua Vyama Vingi kwamba mchakato wa kumpata kiongozi lazima kila mtu apate nafasi katika kuhakikisha anachagua kiongozi anayemtakaa na ndio maana kuna vyama vingi.Lazima pia kuwe na Uhuru wa kujieleza baina ya watu ,mfumo huu unahimiza uhuru wa kuabudu kuwe na uhuru wa vyombo vya habari kuwe na uhuru wa kukosoa na kutoa mapendekezo pale Serikali yoyote inapofanya vibaya,kuwe na uhuru pia baina ya Wananchi wa kufanya biashara pamoja na kuendeleza tamaduni baina ya watu husika pasipo kuingiliwa na mtu yoyote yule.Lazima kufuata  utawala wa sheria ,lazima kuwe mgawanyiko wa madaraka ,lazima kuwe na  uchaguzi kila baada miaka 4-5 au wengine miaka 7 hapa namaanisha kuwe na ukomo wa madaraka na miaka hiyo inakuwa imepangwa kulingana na katiba ya nchi husika na lazima utaratibu huo ufuatwe pasipo kuvunjwa.

Mbali na yote hayo huu ndio mfumo unakubalika na wengi kwani unagusa nyanja zote na kila mmoja anatakiwa kushiriki kikamilifu katika suala lolote lile, mfumo huu haubagui kabisa japokuwa unachangamoto nyingi sana katika mataifa yanayoendelea hususani Afrika na mashariki ya kati.Na hili limejitokeza kwenye Chaguzi nyingi sana kuanzia miaka 1960s.Mfumo huu unapinga mtu mmoja kuongoza nchi mwenyewe kwa mda  mrefu pasipo kupisha wengine kuongoza ,mfumo huu unatambua haki ya binadamu na unaamini kwamba watu wote ni sawa (All People Are Equal) lakini piaa unahimiza uwepo wa Bunge ambalo husimama kwa niaba ya wananchi kuhakikisha  sheria inatengenezwa.kusimamia mambo mbali mbali ya yanayofanywa na Serikali na kuhakikisha sheria hazivunjwi na kuhakikisha Serikali inawajibika na kuwajali wananchi wake ipasavyo na chombo kinachohusika kusimamia mambo yote hayo ni mahakama lakini pia mwasisi wa mambo yote haya ni John Lock (Father of Law),lakini mambo haya yalikuja kuasisiwa na kutiliwa mkazi na wakina Thomas Jefferson na James Madson kutoka Marekani.

Viongozi wengi wa Bara la Afrika wanaingia madarakani siyo kwa Sanduku la Kura bali wanaingia Madarakani kwa njia ya Uchochoroni ama kwa kutumia mkono wa Chuma na ndiyo maana Bara la Afrika limekuwa likiongozwa na Viongozi ambao siyo chaguo la Wengi bali ni Chaguo la Wachache hivyo kupelekea mtafaruko mkubwa na mauaji ya kutisha katika Chaguzi Nyingi Barani Afrika.Mfumo huu unahimiza uwepo wa Mahakama kwa ajili kusimamia sheria na yoyote avunjae basi kuchukuliwa hatua za kisheria maana mfumo huu unadavua wazi kwamba hakuna mtu anapaswaa kuwa juu ya sheria,watu wote kwa asili walizaliwa sawa.Mfumo huu hutambua uwepo wa katiba maana  hii ndio hubeba maana nzima ya nchi, katiba ndio hubeba hatima ya wanachi.Wananchi wanapewa nguvu kubwa ya kuadhibu Serikali endapo itafanya vibaya au itaenda kinyume na katiba.katika mfumo huu Serikali ina jukumu la kutoa huduma za kibinadamu pasipo kubaguaa dini ,ukabila ama rangi ya mtu mmoja mmoja. 

Mfumo ndio unaitwa DEMOCRACY ni mfumo ambao ulianzishwa na kutiliwa mkazo sana na John Lock,huyu ambaye ndio Baba wa katiba na  ndio mwaasisi wa Bunge,lakini amehusika pakubwa kwenye Upande wa Sheria ambazo zinatumika leo katika mataifa mbalimbali kwa sasa.Japokuwa walikuwepo wengine kama wakina Jean Jacques na Voltire na Montesque kutoka ufaransa, wanamchango mkubwa katika maendeleo ya Democracy kote.Lakini lazima tutambue mchango mkubwa wa Rais wa tatu wa Marekani Thomas Jefferson na wengine walishiriki kikamilifu katika kutengeneza katiba ya Marekani kama James Madison na Georg Washington pia mchango mkubwa wa Abraham Lincoln ambaye alitoa ufafanuzi mkubwa juu ya Maana ya Democracy.

Kiranja na msimamizi mkuu wa kile kinachoitwa Democracy ni  MAREKANI,taifa hili la Marekani ndiyo limeonekana kuwa mfano Bora katika kufuata nguzo muhimu za Kile kinachoitwa Democracy japo wanachangamoto zao ila wanaonekana kubaki kileleni kama taifa la Kidemokrasia Duniani.UFARANSA,UINGEREZA pamoja na Umoja wa kimataifa UN (Unite Nations 1945) na jumuia zingine kama umoja wa Ulaya (United Kingdom) pia wamekuwa Viranja wa mda mrefu sana wa Demokrasia, wanasimama kama Viranja wakuu.Lakini zaidi ya hapo hawataki kusikiaa mtu anaupinga huu mfumo amaa kuuvunja kwa makusudi,endapo utaenda kinyume utakuwa unatafuta matatizo makubwa kutoka kwa mabeberu na watakuita Dectator yaani kiongozi usiyefaa maana "When the Mission is Completed The Dog Must Die " na huo ndio utaratibu wao ukienda tufauti utakula nyasi ama ukubali kuishi kama mtumwa katika taifa lako mwenyewe nje  ya hapo ukubali kutekeleza matakwa yao.

Mfumo huu unaitwa Democracy umegharimu maisha ya  viongozi wengi na raia wao maana mtu yoyote aliyepinga mfumo huu hakupona hakika, kuna ambao walipinduliwa na kuna ambao walichapwa risasi,mfano mzuri ni kipindi mfumo huu unaasisiwa kwa kile kilichojulikana kama The rise of Democracy,ambapo taifa la kwanza kuanza kutumia mfumu huu lilikuwa ni Uingereza,kuanzia karne ya 15-17 na kuendelea.Mapinduzi ya kwanza yalijikita katika kumuondoa mfalme Charls I na ilikuwa mwaka 1946/7 katika mapinduzi yaliyojulikana kama Porutant Revolution.Mageuzi haya ya Democracy hayakuishia hapo tu bali yalianza kuenea na baadae Ufaransa ambapo yalijikita katika kumpindua mfalme Luois XVI mwaka 1789 mpaka mwaka 1795 na mwaka 1799.

Hata hivyo katika maeneo mengi Barani Ulaya bado mfumo huu ulionekana mchanga sana hivyo mageuzi yaliendelea katika mataifa madogomadogo katika kile kilichojulikana kama 1848 Revolution ambao yalikuwa ni mapunduzi ya kuondoa mfumo wa kifalme (Autocratic/Despotic Rule) na kuingiza Uongozi unaofuata Sheria yaani kwa sasa unafahamika kama Democracy,mataifa ya Ulaya yalifuta mfumo wa kizamani ambao viongozi waliongoza wanavyotaka wao na wengine waligeuza nchi kama mali ya familia kama ilivyokuwa Ufaransa,Uingereza Chini ya Tudoro Monarchy Family,Italy chini ya Victor Emmanuel,Ujerumany ilikuwa Chini ya mfalme William I-III,Ukienda Austria Hungary ambao walikuwa chini ya Prince Mattenichy pamoja na maeneo mengine lakini vuguvugu la Mabadiliko lilipoanza hakuna mfalme alisalia madarakani waliondolewa wote na kuanzia hapo ukawa ndiyo mwanzo wa kuja kwa mfumo unaoitwa Democracy.

Huu ndio mfumo unatumika kwa sasa na Kiranja mkuu ama msimamizi mkuu ni Marekani na Marekani wao walianzisha mfumo huu baada ya kujipatia Uhuru wao mwaka 1776 Chini ya George Washinton kama Rais wa Kwanza akisaidiwa na Thomas Jeffeson, ambaye ndiyo aliyeandika katiba ya Marekani uku wakisaidiana na wahusika wengine kama James Madson.Katiba hiyo ndiyo imekuwa chachu kuu katika maendeleo ya Democracy ulimwenguni Kote,na Marekani ameanza kusambaza na kueneza itakadi hii baada ya kuwa taifa kubwa la kibepari na lenye nguvu Duniani. Kuanzia mwaka 1920s mpaka hivi leo Marekani ndiyo taifa kibwa na lenye nguvu kuliko yote Duniani.Alianza kusambaza falsafa hii kwa nguvu,kwa damu na jasho hususani kuanzia mwaka 1940s hapo kasi iliongezeka baada ya kuibuka na kupamba moto kwa Ujamaa Duniani.Na mpaka mwaka 1945-1980s walikuja na Sera mbalimbali ikiwemo ile ya Open Door Policy (Doing Busness With Afrikans) na Mashall Plan Policy ambapo zilikuwa zinatumika kusapoti na kusambaza misaada mbalimbali katika kuahakikisha ubepari unashika hatamu Duniani kote iwe kwa Mungu ama kwa Shetani.

Hata hivyo Marekani na yeye huyupo pekee yake Mataifa ya Ulaya pia yanafanya kazi hiyo hiyo ya kuhakikisha kwamba mfumo huu wa Democracy unalindwa na kupewa heshima yake japo pia wamekuwa wakitumia mgongo wa Democracy katika kuchota malighafi za Mataifa Masikini na hapa wanakamilisha ule msemo wa Darwinism Theory kwamba "Only The Strong Will Survive and The Weaker Will Die/Will Never Survive.Mbali na kwamba tunatambua kwamba mataifa haya ya mslahi katika mataifa ya Afrika ila pia ndiyo wamekuwa wafadhili wakubwa wa mambo mbalimbali katika mataifa Masikini,wao ndiyo wanaosimamia miradi mbalimbali na hawa ndiyo wanaofadhiri bajeti za mataifa ya Afrika na hawa ndiyo wameshika mpini yaani wameshikiria kila kitu,teknolojia yakwao,Wawekezaji wao,Bank ya Dunia yao,Soko la Dunia wanapanga wao,Silaha hatari za kivita wanapanga wao hivyo ndiyo maana wanayo sauti ya kumfokoea mwafrika wanavyotaka wao pale wanapoona maslahi yao yanaingiliwa,ndio maana unaona wana uwezo wa kuingilia katika mambo mbalimbali Duniani Kote.

Na hili liko wazi kwamba hata pale unapotaka misaada kutoka sharti ufuate matakwa yao lakini ni pamoja na kuheshimu utawala bora na Sheria lakini pia kuheshimu na kulinda Demokrasia na nje ya hapo basi hutakuwa na Vigezo vya kupata misaada ama kitu chochote unachokitaka kutoka kwao na hapa ndipo unapokuja ule msemo wa kwamba BOSI HUWA HANUNIWI.Wanauwezo hata wa kukuzuia usisafiri ama usiende popote pale kama tu hutashindwa kufuata na kuheshimu misingi ya Demokrasia hii imeoneka katika mataifa mengi sanaa ikiwemo Zimbabwe amba wameishi katika Vikwazo kwa mda wa miaka 18 sasa.Lakini pia Umoja wa Ulaya hauko nyuma katika hili maana Marekani na Uingereza  ni kama Baba na mtoto wake,chochote anachokifanya Marekani Uingereza hana nguvu za kupinga hata kama jambo lenyewe ni baya kiasi gani.Hivyo mataifa yote yanayosimamiwa au yaliyotawaliwa na Mwingereza na haya ndiyo mengi zaidi hayana budi kufuata na mfumo huu wa Kidemokrasia ambao umeonekana kuwa kikwazo Barani Afrika.

Bi maana popote pale unapofanyika Uchaguzi hu lazima kuwe na wasimamizi ama waangalizi wa Umoja wa Kimataifa kutoka Bara la Ulaya (UK) kutoka UN na katika jumuia mbalimbali ikiwemo umoja wa Afrika (Afrikan Union),lazima kuwe na wasimamizi kutoka SADC na lengo kuu ni kutafuta taarifa na kuangalia je Uchaguzi ulifanyika katika kweli na hakii au kuna uhuni umetendeka na kinyume na hapo hawatakubaliana na matokeo ndiyo maana leo unaona Ufaransa anapinga  matokeo ya Congo yaliotangazwa na tume ya taifa CENI mnamo tarehe 09/1/2019 nchini humo maana wanaamini kwamba Martin Fayulu ndiyo mshindi na Siyo Filex Tsheseked,ndio maana Unaona Marekani tarehe 11/1/2019 wameomba maelezo ya kile kilichotokea Congo ili kujihakikishia kama Ulifanyika katika Ukweli na haki,Unaweza ukaona kama wanaingilia mambo ya Afrika lakini Ukweli ni kwamba wao Ndiyo Viranja wa Demokrasia Dunuani kote na wao ndiyo Wafadhili wa mambo mbaimbali Duniani Kote yaani Marekani ni kama maji Usipokunywa Utayaogaa,Usipo yaoga Utafulia.

Mataifa mengine yanapinga vilevile kile kinachoendelea Congo na hii ni kwa Sababu wanaona bado kivuli na Joseph Kabila bado kipo Congo,mataifa makubwa watataka kuona unarudiwa kwa namna moja ama nyingine.Mbali na hivyo Marekani na washirika wake wameweka ma-Agent Duniani kote lengo kuu ni katika kuangalia kwamba mfumo huu unalindwa,na mfano mzuri ni CIA na FBI wamekuwa wakishirikiana katika kulinda mslai yao kwa namna moja ama nyingine.Ndio maana kumkwepa Mmarekani ni ngumu sana katika Ulimwengu wa kibepari.Marekani pia amekuwa pia ni Peace Keeper kwa Upande fulani lakini pia  Conflicts Maker mzuri sana pale anapoona malengo yake hayajatimia.Marekani yupo Afrika nzima hii,amekuwa akilaumiwa katika mambo mbalimbali lakini pia amekuwa akisaidia katika kuondoa Uongozi wa kimabavu katka maeneo tofauti tofauti na katika kusaidia maendeleo hususani katika mataifa masikini ila mbali na yote hayo mataifa ya Kibepari hayafanyi kazi bure wanakwambia "NO FREE LUNCH UNDER THE SUN".

Hivyo basi mataifa yote yenye kufuata mfumo wa Democracy hawanabudi kuheshimu na kufuata misingi yake kwenda kinyume na hapo basi kifo au uwe unajiweza kiuchumi ,kiteknolojia na kijeshi nje na hapo huna bahati maana Kiranja mkubwa wa mfumo huu ni Marekani ambaye ametega mashushu duniani kote ambao wametumwa kwa kazi mahususi ,taifa lolote lile la ambalo linatumia mfumo huu basi lazima watambue kwamba wapo nchini ya ungalizi wa marekani kufeli kufanya ivoo basi hatua kali zitachukuliwa na ni pamoja na kukuwekea vikwazo vya kiuchumi na kukutengenezea propaganda ili uonekane mbaya ili wakupige kirahiisi Marekani yupo kwa ajili ya kulinda democracy na Maslahi yake popote pale duniani .



Mbali na yote hayo huu ndio mfumo unakubalika na wengi kwani unagusa nyanja zote na kila mmoja anatakiwa kushiriki kikamilifu katika suala lolote lile, mfumo huu haubagui kabisa japokuwa unachangamoto nyingi sana katika mataifa yanayoendelea hususani Afrika na mashariki ya kati.Na hili limejitokeza kwenye Chaguzi nyingi sana kuanzia miaka 1960s.Mfumo huu unapinga mtu mmoja kuongoza nchi mwenyewe kwa mda  mrefu pasipo kupisha wengine kuongoza ,mfumo huu unatambua haki ya binadamu na unaamini kwamba watu wote ni sawa (All People Are Equal) lakini piaa unahimiza uwepo wa Bunge ambalo husimama kwa niaba ya wananchi kuhakikisha  sheria inatengenezwa.kusimamia mambo mbali mbali ya yanayofanywa na Serikali na kuhakikisha sheria hazivunjwi na kuhakikisha Serikali inawajibika na kuwajali wananchi wake ipasavyo na chombo kinachohusika kusimamia mambo yote hayo ni mahakama lakini pia mwasisi wa mambo yote haya ni John Lock (Father of Law),lakini mambo haya yalikuja kuasisiwa na kutiliwa mkazi na wakina Thomas Jefferson na James Madson kutoka Marekani.



Viongozi wengi wa Bara la Afrika wanaingia madarakani siyo kwa Sanduku la Kura bali wanaingia Madarakani kwa njia ya Uchochoroni ama kwa kutumia mkono wa Chuma na ndiyo maana Bara la Afrika limekuwa likiongozwa na Viongozi ambao siyo chaguo la Wengi bali ni Chaguo la Wachache hivyo kupelekea mtafaruko mkubwa na mauaji ya kutisha katika Chaguzi Nyingi Barani Afrika.Mfumo huu unahimiza uwepo wa Mahakama kwa ajili kusimamia sheria na yoyote avunjae basi kuchukuliwa hatua za kisheria maana mfumo huu unadavua wazi kwamba hakuna mtu anapaswaa kuwa juu ya sheria,watu wote kwa asili walizaliwa sawa.Mfumo huu hutambua uwepo wa katiba maana  hii ndio hubeba maana nzima ya nchi, katiba ndio hubeba hatima ya wanachi.Wananchi wanapewa nguvu kubwa ya kuadhibu Serikali endapo itafanya vibaya au itaenda kinyume na katiba.katika mfumo huu Serikali ina jukumu la kutoa huduma za kibinadamu pasipo kubaguaa dini ,ukabila ama rangi ya mtu mmoja mmoja. 



Mfumo ndio unaitwa DEMOCRACY ni mfumo ambao ulianzishwa na kutiliwa mkazo sana na John Lock,huyu ambaye ndio Baba wa katiba na  ndio mwaasisi wa Bunge,lakini amehusika pakubwa kwenye Upande wa Sheria ambazo zinatumika leo katika mataifa mbalimbali kwa sasa.Japokuwa walikuwepo wengine kama wakina Jean Jacques na Voltire na Montesque kutoka ufaransa, wanamchango mkubwa katika maendeleo ya Democracy kote.Lakini lazima tutambue mchango mkubwa wa Rais wa tatu wa Marekani Thomas Jefferson na wengine walishiriki kikamilifu katika kutengeneza katiba ya Marekani kama James Madison na Georg Washington pia mchango mkubwa wa Abraham Lincoln ambaye alitoa ufafanuzi mkubwa juu ya Maana ya Democracy.



Kiranja na msimamizi mkuu wa kile kinachoitwa Democracy ni  MAREKANI,taifa hili la Marekani ndiyo limeonekana kuwa mfano Bora katika kufuata nguzo muhimu za Kile kinachoitwa Democracy japo wanachangamoto zao ila wanaonekana kubaki kileleni kama taifa la Kidemokrasia Duniani.UFARANSA,UINGEREZA pamoja na Umoja wa kimataifa UN (Unite Nations 1945) na jumuia zingine kama umoja wa Ulaya (United Kingdom) pia wamekuwa Viranja wa mda mrefu sana wa Demokrasia, wanasimama kama Viranja wakuu.Lakini zaidi ya hapo hawataki kusikiaa mtu anaupinga huu mfumo amaa kuuvunja kwa makusudi,endapo utaenda kinyume utakuwa unatafuta matatizo makubwa kutoka kwa mabeberu na watakuita Dectator yaani kiongozi usiyefaa maana "When the Mission is Completed The Dog Must Die " na huo ndio utaratibu wao ukienda tufauti utakula nyasi ama ukubali kuishi kama mtumwa katika taifa lako mwenyewe nje  ya hapo ukubali kutekeleza matakwa yao.



Mfumo huu unaitwa Democracy umegharimu maisha ya  viongozi wengi na raia wao maana mtu yoyote aliyepinga mfumo huu hakupona hakika, kuna ambao walipinduliwa na kuna ambao walichapwa risasi,mfano mzuri ni kipindi mfumo huu unaasisiwa kwa kile kilichojulikana kama The rise of Democracy,ambapo taifa la kwanza kuanza kutumia mfumu huu lilikuwa ni Uingereza,kuanzia karne ya 15-17 na kuendelea.Mapinduzi ya kwanza yalijikita katika kumuondoa mfalme Charls I na ilikuwa mwaka 1946/7 katika mapinduzi yaliyojulikana kama Porutant Revolution.Mageuzi haya ya Democracy hayakuishia hapo tu bali yalianza kuenea na baadae Ufaransa ambapo yalijikita katika kumpindua mfalme Luois XVI mwaka 1789 mpaka mwaka 1795 na mwaka 1799.


Hata hivyo katika maeneo mengi Barani Ulaya bado mfumo huu ulionekana mchanga sana hivyo mageuzi yaliendelea katika mataifa madogomadogo katika kile kilichojulikana kama 1848 Revolution ambao yalikuwa ni mapunduzi ya kuondoa mfumo wa kifalme (Autocratic/Despotic Rule) na kuingiza Uongozi unaofuata Sheria yaani kwa sasa unafahamika kama Democracy,mataifa ya Ulaya yalifuta mfumo wa kizamani ambao viongozi waliongoza wanavyotaka wao na wengine waligeuza nchi kama mali ya familia kama ilivyokuwa Ufaransa,Uingereza Chini ya Tudoro Monarchy Family,Italy chini ya Victor Emmanuel,Ujerumany ilikuwa Chini ya mfalme William I-III,Ukienda Austria Hungary ambao walikuwa chini ya Prince Mattenichy pamoja na maeneo mengine lakini vuguvugu la Mabadiliko lilipoanza hakuna mfalme alisalia madarakani waliondolewa wote na kuanzia hapo ukawa ndiyo mwanzo wa kuja kwa mfumo unaoitwa Democracy.



Huu ndio mfumo unatumika kwa sasa na Kiranja mkuu ama msimamizi mkuu ni Marekani na Marekani wao walianzisha mfumo huu baada ya kujipatia Uhuru wao mwaka 1776 Chini ya George Washinton kama Rais wa Kwanza akisaidiwa na Thomas Jeffeson, ambaye ndiyo aliyeandika katiba ya Marekani uku wakisaidiana na wahusika wengine kama James Madson.Katiba hiyo ndiyo imekuwa chachu kuu katika maendeleo ya Democracy ulimwenguni Kote,na Marekani ameanza kusambaza na kueneza itakadi hii baada ya kuwa taifa kubwa la kibepari na lenye nguvu Duniani. Kuanzia mwaka 1920s mpaka hivi leo Marekani ndiyo taifa kibwa na lenye nguvu kuliko yote Duniani.Alianza kusambaza falsafa hii kwa nguvu,kwa damu na jasho hususani kuanzia mwaka 1940s hapo kasi iliongezeka baada ya kuibuka na kupamba moto kwa Ujamaa Duniani.Na mpaka mwaka 1945-1980s walikuja na Sera mbalimbali ikiwemo ile ya Open Door Policy (Doing Busness With Afrikans) na Mashall Plan Policy ambapo zilikuwa zinatumika kusapoti na kusambaza misaada mbalimbali katika kuahakikisha ubepari unashika hatamu Duniani kote iwe kwa Mungu ama kwa Shetani.



Hata hivyo Marekani na yeye huyupo pekee yake Mataifa ya Ulaya pia yanafanya kazi hiyo hiyo ya kuhakikisha kwamba mfumo huu wa Democracy unalindwa na kupewa heshima yake japo pia wamekuwa wakitumia mgongo wa Democracy katika kuchota malighafi za Mataifa Masikini na hapa wanakamilisha ule msemo wa Darwinism Theory kwamba "Only The Strong Will Survive and The Weaker Will Die/Will Never Survive.Mbali na kwamba tunatambua kwamba mataifa haya ya mslahi katika mataifa ya Afrika ila pia ndiyo wamekuwa wafadhili wakubwa wa mambo mbalimbali katika mataifa Masikini,wao ndiyo wanaosimamia miradi mbalimbali na hawa ndiyo wanaofadhiri bajeti za mataifa ya Afrika na hawa ndiyo wameshika mpini yaani wameshikiria kila kitu,teknolojia yakwao,Wawekezaji wao,Bank ya Dunia yao,Soko la Dunia wanapanga wao,Silaha hatari za kivita wanapanga wao hivyo ndiyo maana wanayo sauti ya kumfokoea mwafrika wanavyotaka wao pale wanapoona maslahi yao yanaingiliwa,ndio maana unaona wana uwezo wa kuingilia katika mambo mbalimbali Duniani Kote.



Na hili liko wazi kwamba hata pale unapotaka misaada kutoka sharti ufuate matakwa yao lakini ni pamoja na kuheshimu utawala bora na Sheria lakini pia kuheshimu na kulinda Demokrasia na nje ya hapo basi hutakuwa na Vigezo vya kupata misaada ama kitu chochote unachokitaka kutoka kwao na hapa ndipo unapokuja ule msemo wa kwamba BOSI HUWA HANUNIWI.Wanauwezo hata wa kukuzuia usisafiri ama usiende popote pale kama tu hutashindwa kufuata na kuheshimu misingi ya Demokrasia hii imeoneka katika mataifa mengi sanaa ikiwemo Zimbabwe amba wameishi katika Vikwazo kwa mda wa miaka 18 sasa.Lakini pia Umoja wa Ulaya hauko nyuma katika hili maana Marekani na Uingereza  ni kama Baba na mtoto wake,chochote anachokifanya Marekani Uingereza hana nguvu za kupinga hata kama jambo lenyewe ni baya kiasi gani.Hivyo mataifa yote yanayosimamiwa au yaliyotawaliwa na Mwingereza na haya ndiyo mengi zaidi hayana budi kufuata na mfumo huu wa Kidemokrasia ambao umeonekana kuwa kikwazo Barani Afrika.



Bi maana popote pale unapofanyika Uchaguzi hu lazima kuwe na wasimamizi ama waangalizi wa Umoja wa Kimataifa kutoka Bara la Ulaya (UK) kutoka UN na katika jumuia mbalimbali ikiwemo umoja wa Afrika (Afrikan Union),lazima kuwe na wasimamizi kutoka SADC na lengo kuu ni kutafuta taarifa na kuangalia je Uchaguzi ulifanyika katika kweli na hakii au kuna uhuni umetendeka na kinyume na hapo hawatakubaliana na matokeo ndiyo maana leo unaona Ufaransa anapinga  matokeo ya Congo yaliotangazwa na tume ya taifa CENI mnamo tarehe 09/1/2019 nchini humo maana wanaamini kwamba Martin Fayulu ndiyo mshindi na Siyo Filex Tsheseked,ndio maana Unaona Marekani tarehe 11/1/2019 wameomba maelezo ya kile kilichotokea Congo ili kujihakikishia kama Ulifanyika katika Ukweli na haki,Unaweza ukaona kama wanaingilia mambo ya Afrika lakini Ukweli ni kwamba wao Ndiyo Viranja wa Demokrasia Dunuani kote na wao ndiyo Wafadhili wa mambo mbaimbali Duniani Kote yaani Marekani ni kama maji Usipokunywa Utayaogaa,Usipo yaoga Utafulia.



Mataifa mengine yanapinga vilevile kile kinachoendelea Congo na hii ni kwa Sababu wanaona bado kivuli na Joseph Kabila bado kipo Congo,mataifa makubwa watataka kuona unarudiwa kwa namna moja ama nyingine.Mbali na hivyo Marekani na washirika wake wameweka ma-Agent Duniani kote lengo kuu ni katika kuangalia kwamba mfumo huu unalindwa,na mfano mzuri ni CIA na FBI wamekuwa wakishirikiana katika kulinda mslai yao kwa namna moja ama nyingine.Ndio maana kumkwepa Mmarekani ni ngumu sana katika Ulimwengu wa kibepari.Marekani pia amekuwa pia ni Peace Keeper kwa Upande fulani lakini pia  Conflicts Maker mzuri sana pale anapoona malengo yake hayajatimia.Marekani yupo Afrika nzima hii,amekuwa akilaumiwa katika mambo mbalimbali lakini pia amekuwa akisaidia katika kuondoa Uongozi wa kimabavu katka maeneo tofauti tofauti na katika kusaidia maendeleo hususani katika mataifa masikini ila mbali na yote hayo mataifa ya Kibepari hayafanyi kazi bure wanakwambia "NO FREE LUNCH UNDER THE SUN".


Hivyo basi mataifa yote yenye kufuata mfumo wa Democracy hawanabudi kuheshimu na kufuata misingi yake kwenda kinyume na hapo basi kifo au uwe unajiweza kiuchumi ,kiteknolojia na kijeshi nje na hapo huna bahati maana Kiranja mkubwa wa mfumo huu ni Marekani ambaye ametega mashushu duniani kote ambao wametumwa kwa kazi mahususi ,taifa lolote lile la ambalo linatumia mfumo huu basi lazima watambue kwamba wapo nchini ya ungalizi wa marekani kufeli kufanya ivoo basi hatua kali zitachukuliwa na ni pamoja na kukuwekea vikwazo vya kiuchumi na kukutengenezea propaganda ili uonekane mbaya ili wakupige kirahiisi Marekani yupo kwa ajili ya kulinda democracy na Maslahi yake popote pale duniani .

Kanisa la katoliki ni Taasisi imara na iliyokamika sawia, kwanza ni vyema kutambua kwamba kanisa hili ni moja ya Kanisa Kongwe Duniani toka karne ya kwanza katika Dunia ya sasa,Ukongwe wa Kanisa hili umejitanabaisha na kujionyesha kwa mda mrefu sasa.Karne ya 5-15 na kuendeleaa kanisa hili lilikuwa limetawala karibia Bara la Ulaya kwa Ujumla wake,pengine lilikuwa na nguvu kwa wakati huo kuliko sasa au pengine sasa lina nguvu zaidi kuliko zamani maana mambo mengi yamekuwa yakifanyika kwa siri na ufanisi mkubwa mno kuliko ilivyokawaida.Kanisa hili limekuwa likishiriki katika maendeleo mbalimbali Ulimwenguni kote na limekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi pia.

Mbali na kwamba Kanisa hili limekuwa likihusika katika kuwaelimisha na kuwalea watu kiroho na kuwalea kimaadili pia, lakini Kanisa hili limekuwa chachu ya kuzalisha Viongozi mbalimbali Duniani kote,limekuwa chachu ya kutatua na kuzuia migogoro mbalimbali ulimwenguni kote,Kanisa la katoliki haliko nyuma Sana kwenye mambo ya Utawala na katika ulimwengu wa kisiasa,wanaweza wasionekana hadharani moja kwa moja ila wamekuwa na Mchango mkubwa katika mageuzi mbalimbali katika nchi tofauti tofauti Duniani.Hata hivyo Kanisa hili limeonekana kuwa na nguvu, kuwa na mchango mkubwa  katika maeneo mbalmbal Duniani kabla na hata sasa,Imekuwa ni kawaida kwa baadhi ya Viongozi kuwazuia Viongozi wa Dini kutoa mawazo yao juu ya jambo fulani,Wapo wengi wakiona kwamba viongozi wa Dini hawapaswi kuingilia mambo ya Kiserikali wanasahau kwamba Kanisa la Katoliki ni taasisi iliyokamilika na kujitosheleza kila Idara.

Kanisa hili lina mfumo mzima na wanafanya kazi kama Serikali yoyote Duniani,Na ndio maana hata Kiongozi mkuu wa Dini hiyo Pope Francis amekuwa akitembelea nchi mbalimbali Duniani pamoja na kutoa mapendekezo pale inapobidi na kuonya pia pale anapoona kuna tatizo,Sasa unaweza ukajiuliza anapata wapi nguvu na mamlaka ya kukosoa ama kukemea pale anapoona mambo hayaendi sawia,ni kwamba Kanisa la Katoliki ni Taasisi kubwa na iliyokamilika,Kanisa hili limekuwa likifanya hivyo kwa mda mrefu sasa kutoka Karn ya 15 mpaka karne ya 21, bado Kanisa hili limeonekana kuwa na nguvu na Ushawishi mkubwa Duniani kwa Sasa maana limejitengenezea mfumo uliobora na uliokamilika mbali na changamoto mbalimbali ambazo wamekuwa wakipitia changamoto katika kutekeleza Majukumu yao.

Kanisa hili kwa sasa ndiyo kanisa lenye waumini wengi Duniani kuliko dhehebu lingine lolote  Duniani,Kanisa hilo lipo karibia katika kila nchi hapa Duniani,japo linapata upinzani Kutoka Korea Kaskazi ambapo halipo Kabisa japo kuna ambao wanadai linawaumini 800 na hii ni  kulingana na utafiti wa mwaka 2017-2018, japo pia kuna taarifa kwamba hakuna waumini kabisa na hata kama wapo Basi hawataki kufahamika hakika,Lakini piaa lina wafuasi Nchini Nchina ila wamekuwa wakifuatiliwa vikali na maofisa wa Usalama wa taifa hilo ambao hawataki kuona kanisa hilo linafanya shuguli zake Nchini humo,Kwa ujumla ni asilimia 12% ya wakatoliki wote Duniani kulingana na sensa iliyofanywa na Vatican mwaka 2016/17 Hivyoo hii inaonyesha wazi kwamba Kanisa lina idadi ndogo sana ya waumini Barani Asiaa tofauti na maeneo Mengine Duniani kote.

Bado linabaki kuwa kanisa kubwa na lenye nguvu Duniani na Ushawishi usio mashaka,ndio maana mambo yanapokuwa mazito katika taifa lolote lilie basi kanisa huingilia kati kutatua tatizo husika maana ndiyo kanisa ambalo linapoona waumini wake wanapata shida basi huingilia kati,Japo baadhi ya wachambuzi wanaona hili suala ni geni na wanaona ni ajabu kwa kanisa kuingilia mambo ya kisiasa ama kiutawala, maana wanasahau kwamba Kanisa la Kikatoliki ni taasisi iliyokamilika katika kila Idara wana kila kitu ambacho Serikali yoyote iliyopo madarakani inapaswa kuwa nacho,kwa sasa Kanisa la katoliki lina waumini wasiopunguaa 1.285 Billion Duniani kote uku 49% wanatokea Marekani Kaskazini na Marekani kusini (Latin America) uko ndiko kuna wakatoliki wengi sana kuliko sehemu yoyote ile Duniani mpaka sasa.

Idadi ya waumini wa Kanisa la katoliki Duniani ikiwa inaongeza katika baadhi ya maeneo hususani Amerika na Afrika,hapo hapo waumini wake wamekuwa wakipungua Barani Ulaya,Bara la Afrika kila kukicha waumini wa Kanisa la katoliki wamekuwa wakiongezeka (Biggest Increases) Siku hadi sikuu,Wakati Bara la Ulaya waumini wa kikatoliki wakipunguaa (Big Declines) Afrika ndiyo wanaongezeka kwa kasi kubwa sana, Sensa ya mwaka ya mwaka 2010 na  2016 kutoka Vatcan ni kwamba kutoka waumini Million 45 mwaka 1970 wameongezeka mpaka kufikia idadi ya watu million 176 kufikiaa mwaka 2012, lakini inatazamiwa Idadi hiyo huenda imeongezeka kwenda watu Million 200 kote Barani Afrika mpaka 2018.Kwa Upande wa Afrika Congo ndiyo inaongoza kuwa na waumi wengi wa kikatoliki,mwaka 2012 tayari Congo ilikuwa na waumini zaidi ya Million 37 ila kwa sasa wanasemekana kufika 50.

Hivyo Congo inabaki kuwa taifa lenye waumini wengi zaidi Barani Afrika uku wakishika nafasi ya 9 Duniani kote,Kwa Upande wa Marekani ya kusini, Brazil ndiyo taifa linaongoza kuwa na waumini wengi Zaidi wa kikatoliki Duniani ,ambapo kulingana na Sensa ya Mwaka 2010 Brazil ilikuwa na waumini 150 ila kwa sasa idadi hiyo inasemekana kuongeza hadi kufikiaa 170 million.Na mpaka leo Congo waumini wengi ni Wakatoliki,80% ya watu wa Congo ni Wakatoliki na ndiyo maana tumeshuhudia katika Kanisa la Katoliki likiingia kati harakati za kumuondoa Joseph Kabila madarakani,Kanisa la Katoliki lilianza kuandaa mipango ya kumuondoa Kabila Madarakani mwaka 2015.Hata hivyo kanisa hilo Nchini Congo walifanya maandamano makubwa tarehe 20/12/2016 kumtaka Joseph Kabila kuachia Madaraka maana mda wake ulikuwa umeisha kulingana na katiba ya nchi hiyo.

Waumini wa Kanisa hilo na Upinzani walikumbana na upinzani mkali kutoka kwa Kabila ambapo kulitokea na machafuko makubwa ambapo zaidi ya 200 walijeruhiwa na wengine kupoteza Maisha lakini hata hivyo hawakuishia hapo waliendelea kufanya mazungumzo na Kabila ili kufikia makubaliana na mchango wa Kanisa Ulipekea Kabila kukubali kuachia Madaraka ndani ya siku 500 hatimaye siku hazigandi mnamo tarehe 30/12/2018 uchagu ulifanyika nchini humo.Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (CENI) kupitia mwenye kiti wake Corneille Nanga, mapema tarehe 09/01/2019 ilimtangaza Bwana Felix  Tshisekedi Tishilombo kuwa ndiyo mshindi wa uchaguzi huo na kumuuonesha Tishisekedi kuongoza dhidi ya wagombea wenzake wawili. Mkuu wa tume hiyo bwana Corneille Nangaa amesema kuwa Felix Tishisekedi alipata asilimia 38.57 ya kura zilizopigwa na "anatangazwa kuwa mshindi wa kimyang'anyiro hicho cha Urais nchini humo.

Kwa Mujibu wa katiba ya Kongo inapiga marufuku mtu au taasisi yoyote kutoa matokeo ya uchaguzi isipokuwa tume ya uchaguzi pekee (CENI), kwamujibu wa matokeo hayo Felix Tshisekedi Tishilombo wa chama cha UDPS ameonekana kushinda kwa kupata zaidi ya kura 7 milioni sawa na 38.57%  huku bw Fayulu kutoka muungano wa  LAMUKA akipata kura takriban 6.4 milioni sawa na 34.8% na huku mgombea wa serikali Emmanuel Ramazani Shadary wa chama cha FCC akipata takriban kura 4.4 milioni sawa na 23.8% ya kura zote zilizo hesabaiwa, kati ya wapiga kura million 18 walio piga kura katika uchaguzi huu, Kati ya wakongo milioni 40 walio jiandikisha kupiga kura lakini hata hivyo kanisa la Katoliki lenye wafuasi wengi nchini humu walidai kwamba kuna udanganyifu mkubwa umefanyika.

Hivyo kanisa la katoliki lenye kuonyesha kujiamini na kuw na uhakika kile wanachokifanya walidai wazi kwamba wana ushahidi wa kutosha na aliyeshinda uchaguzi mkuu nchini humo siyo Filex bali ni Martin Fayulu ambaye kulingana na wasimamizi wa kanisa la katoliki zaidi ya elfu 40 waliosimamia kikamilifu Uchaguzi huo walidai kwamba mshindi ni Martin Fayulu na kudai kwamba mpinzani huyo anayeungwa mkono na Pierre Bemba na Moize Katumbi ni kwamba Martin alishinda kwa zaidi ya 61% tofauti na matokeo yaliyotolewa na tume ya uchaguzi nchini humo,Hivyo basi Kanisa la katoliki likipewa chapuo na Ufaransa na pamoja na Marekani wakapingaa matokeo hayo na kutaka Uchunguzi ufanyike.mnamo tarehe 12/01/2012 Kiongozi wa Upinzani nchini Congo alienda kupinga katika mahakama ya Katiba nchini humoo kupinga ushindi wa Filex Tsheseked uku akipewa msaada mkubwa na kanisa la Katoliki nchini humo.

Kanisa la katoliki limekuwa imara sana miaka 2300 iliyopita,kanisa la katoliki limeshirki katika mageuzi mengi sana Barani Ulaya,Na viongozi wengi ambao walionekana kuuwa ama kukandamizani Kanisa hilo hawakuwahi kubaki salama tangu miaka ya nyuma,ni kanisa kubwa na lenye nguvu Duniani.Katika historia ama mageuzi ya kidemokrasia Kanisa la kikatoliki lina mchango kwa kiasi kikubwa mno, limekuwa mstari wa mbele kuhakikisha malengo yanafikiwa limekuwa mstari wa mbele kuhakikisha watu ama waumini wake hawakandamizwi ama kuteseka kwa namna moja ama nyingine.Twende kuangalia mchango wa kanisa la katoliki katika mageuzi ama mapinduzi ya kidemokrasia Duniani na hata sasa na kwa nini nasema kanisa la katoliki ni Idara ama Serikali iliyokamilika.

Mwaka 1620s mpaka mwaka 1230s katika utawala wa King Charls I ambapo utawala wake ulikuwa wa kibabe kuliko kawaida ambapo ilifika hatua alianza kuwaandama na kuwauwa viongozi wa kidini ya kikatoliki.Wakatoliki nchini Uingereza waliamua kuingia kwenye mgogoro mkubwa na mfalme King Charls I baada ya kuona mfalme huyo amekuwa tishio kubwa katika dini ya kikatoliki ,maana mfalme Charls I alikuwa anapambana kufuta dini hiyo ya wakatoliki na kuanzisha au kulipa nguvu kubwa kanisa lake la Church of England ambalo kwa sasa linajukana kama  Anglicana (Church of England).
Lakini mbali na ivoo king charls I uongozi wake ulikuwa na mapungufu makubwa ambayo ilikuwa ngumu kuvimilika,mnamo mwaka 1929 King Charls I alifuta Bunge kwa wa miaka 11,kwa lugha nyepesi alikuwa anaongoza nchi pasipo Bunge na kwa kufanya hivyo alisababisha hali kuwa mbaya ya Uchumi wa nchi kuwa mbaya sana kiuchumi na kiusalama pia kwa ujumla wake.

Kwa kuwa kanisa la katoliki lilikuwa na waumini wengi sana nchini England kwa wakati huo,na viongozi wengi walikuwa Serikalini,na kwa wakati huo Nchi ilikuwa inafanya kazi na Kanisa kwa ukaribu mno, lakini King Charls I aligoma kufanya kazi na Wakatoliki bila kujua kwamba Viongozi wengi waliokuwa katika Serikali yake yeye mwenyewe walikuwa ni Viongozi wa Dini pia na hata walipojaribu kumuonya alikuwa mkali na kuwatimua na ndiyo kipindi ambacho Viongozi wengi wa kanisa la Kikatoliki walikimbilia Marekani ya Kusini.Baada hali nchi kuwa mbaya zaidi waswahili wanasema nyani huwa haonagi Kundule,King Charls I aliamua kuitisha Bunge mwaka 1640 ikumbukwe kwamba Bunge alilifunga mwenyewe mwaka 1629.

Alivyojaribu kuwaita wabunge kuongea nao ili wajadili namna gani wanaweza kutatua kero za taifa la England lakini pia ni pamoja na kukusanya kodi ili utawala wake uendelee kuimarika.Baada ya kufanya hivyo Wabunge na Viongozi wa taifa hilo waligoma kuitikia wito wa King Charls I,Kwa kugha nyepesi ni kwamba walimsusia nchi King Charls I (King Charls I was Abandoned by the Parliament).Baada ya King Charls I kususiwa na Bunge alikosa nguvu na Ushawishi katika taifa la Uingereza (Great Britain) na kwa maana hiyo kila alichokuwa anataka kufanya kilishindikana hivyoo hali hii ilipelekea taifa hilo kuyumba kiuchumi ki amba wana baadhi ya Viongozi hawkutaka kuona hili linatokea kabisa na hata King Charls alichanganyikiwa na kushindwa kujua afanye nini kwa wakati huo isipokuwa aligeuka kuwa mbogo na kuanza kulazimisha watu walipe kodi kwa lazima bila kujua kwamba huo ndiyo mwisho wake ila hakutambua hilo bali aliyendelea kuongoza nchi kibabe.

Twende kwenye mkasa husika na kwa nini Kanisa la Katoliki ni taasisi iliyo kamilika,siku zote ukimya unapokuwa mwingi baina ya wanyonge basi atakaeibuka kuwatetea wanyonge huyo ndiye atakaekuwa mfalme, kamanda na kiongozi wa kanisa la katoliki Oliver cromwel,Oliver Crommwel alizaliwa mnamo tarehe 25/04/1599 kutoka katika jimbo la Huntingdon Uko Uingereza (United Kingdom),Oliver maisha yake yote amekulia na kulelea na kaniaa la katoliki,na yeye mwenyewe kwa asili ametokea katika uko wa Henry VIII na Baba yake mzazi alifahamika kama Thomas Crommwel,ukoo wao wote ni wakatoliki ambapo kwa wakati huo walijulikana kama Porutants (Wafuasi wa kanisa la katoliki) .

Kulingana na utaratibu na uwezo mkubwa wa kujieleza na kuongea kutoka kwa Oliver Cromwell Thomas,kulimfanya mwaka 1628 kutoa hotuba yeye kuvutia mbele ya wafuasi wa kanisa la Katoliki,kutokana na uwezo huo alikuja kuchaguliwa kama mbunge kuanzia mwaka 1628/30 kuwakilisha jimbo la Huntingdon Uko Uingereza.Hakuishia hapo tenaa Bwana Cromwell alichaguliwa tena kwa mara nyingine tenaa mwaka 1640,Oliver Cromwell alipambana sana na Serikali ya King Charls I na alikuwa ni mmoja wa wabunge ambao walikuwepo kwenye mkasa wa kufungiwa kwa Bunge mwaka 1629,hata hivyo Bwana Cromwell Thomas,mbali na kwamba alikuwa mbunge pia alikuwa ni kamanda wa ngazi za juu Uingereza.

Lakini kulingana na uwezo mkubwa wa kuongoza pia Cromwel alikuwa Kiongozi wa kidini hivyo alikuwa na ushawishi Jeshini,alikuwa na Ushawishi Kanisani pia alikuwana Ushawishi Serikalini.mnamo mwaka 1647/48 alianzisha Vita dhidi ya Ufalme wa Charls I ,kwa wakati huo jeshi liligawanyika katika pande mbili,kuna ambao walimuunga mkono Cromwel ambao hawa wengi wao walikuwa wafuasi wa Kanisa la Katoliki waliojulikana kama ROUNDHEADS na wale waliobaki upande wa Charls I ,walifahamika kama THE CAVALIERS,Cromwel aliunda kikosi chake au kikundi cha Siri ambacho kikundi hiki kilikuwa kinaundwa na wakatoliki watupu.

Kikundi hiki cha maporutants ambao walidhamilia kumuondoa King Charls Madarakani kwa vyoyote vile iwe kwa msaada wa Mungu ama kwa msaada wa Shetani,kikosi hicho kilifahamika kama Porutans Religious group lakini pia walifahamika kama Th Diggers,hata hivyo Kamanda Cromwell hakuwa mwenyewe bali alisaidiwa na General Thomas Fairfax na kwa umoja huo basi Oliver Cromwel alimtoa madarakani Charls I,Na mnamo1649 Oliver Crommwel alihidhinisha Kunyongwa kwa Charls I na mapinduzi yale yalifahamika kama Porutants Revokution,kwa lugha nyepesi ni kwamba Porutants ni wafuasi wa kanisa la katoliki.


Kanisa la katoliki ni Taasisi imara na iliyokamika kisawa sawa,kwanza ni vyema kutambua kwamba kanisa hili ni moja ya Kanisa Kongwe Duniani toka karne ya kwanza katika Dunia ya sasa,Ukongwe wa Kanisa hili umejitanabaisha na kujionyesha kwa mda mrefu sasa.Karne ya 5-15 na kuendeleaa kanisa hili lilikuwa limetawala karibia Bara la Ulaya kwa Ujumla wake,pengine lilikuwa na nguvu kwa wakati huo kuliko sasa au pengine sasa lina nguvu zaidi kuliko zamani maana mambo mengi yamekuwa yakifanyika kwa siri na ufanisi mkubwa mno kuliko ilivyokawaida.Kanisa hili limekuwa likishiriki katika maendeleo mbalimbali Ulimwenguni kote na limekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi pia.

Mbali na kwamba Kanisa hili limekuwa likihusika katika kuwaelimisha na kuwalea watu kiroho na kuwalea kimaadili pia, lakini Kanisa hili limekuwa chachu ya kuzalisha Viongozi mbalimbali Duniani kote,limekuwa chachu ya kutatua na kuzuia migogoro mbalimbali ulimwenguni kote,Kanisa la katoliki haliko nyuma Sana kwenye mambo ya Utawala na katika ulimwengu wa kisiasa,wanaweza wasionekana hadharani moja kwa moja ila wamekuwa na Mchango mkubwa katika mageuzi mbalimbali katika nchi tofauti tofauti Duniani.Hata hivyo Kanisa hili limeonekana kuwa na nguvu, kuwa na mchango mkubwa  katika maeneo mbalmbal Duniani kabla na hata sasa,Imekuwa ni kawaida kwa baadhi ya Viongozi kuwazuia Viongozi wa Dini kutoa mawazo yao juu ya jambo fulani,Wapo wengi wakiona kwamba viongozi wa Dini hawapaswi kuingilia mambo ya Kiserikali wanasahau kwamba Kanisa la Katoliki ni taasisi iliyokamilika na kujitosheleza kila Idara.

Kanisa hili lina mfumo mzima na wanafanya kazi kama Serikali yoyote Duniani,Na ndio maana hata Kiongozi mkuu wa Dini hiyo Pope Francis amekuwa akitembelea nchi mbalimbali Duniani pamoja na kutoa mapendekezo pale inapobidi na kuonya pia pale anapoona kuna tatizo,Sasa unaweza ukajiuliza anapata wapi nguvu na mamlaka ya kukosoa ama kukemea pale anapoona mambo hayaendi sawia,ni kwamba Kanisa la Katoliki ni Taasisi kubwa na iliyokamilika,Kanisa hili limekuwa likifanya hivyo kwa mda mrefu sasa kutoka Karn ya 15 mpaka karne ya 21, bado Kanisa hili limeonekana kuwa na nguvu na Ushawishi mkubwa Duniani kwa Sasa maana limejitengenezea mfumo uliobora na uliokamilika mbali na changamoto mbalimbali ambazo wamekuwa wakipitia changamoto katika kutekeleza Majukumu yao.

Kanisa hili kwa sasa ndiyo kanisa lenye waumini wengi Duniani kuliko dhehebu lingine lolote  Duniani,Kanisa hilo lipo karibia katika kila nchi hapa Duniani,japo linapata upinzani Kutoka Korea Kaskazi ambapo halipo Kabisa japo kuna ambao wanadai linawaumini 800 na hii ni  kulingana na utafiti wa mwaka 2017-2018, japo pia kuna taarifa kwamba hakuna waumini kabisa na hata kama wapo Basi hawataki kufahamika hakika,Lakini piaa lina wafuasi Nchini Nchina ila wamekuwa wakifuatiliwa vikali na maofisa wa Usalama wa taifa hilo ambao hawataki kuona kanisa hilo linafanya shuguli zake Nchini humo,Kwa ujumla ni asilimia 12% ya wakatoliki wote Duniani kulingana na sensa iliyofanywa na Vatican mwaka 2016/17 Hivyoo hii inaonyesha wazi kwamba Kanisa lina idadi ndogo sana ya waumini Barani Asiaa tofauti na maeneo Mengine Duniani kote.

Bado linabaki kuwa kanisa kubwa na lenye nguvu Duniani na Ushawishi usio mashaka,ndio maana mambo yanapokuwa mazito katika taifa lolote lilie basi kanisa huingilia kati kutatua tatizo husika maana ndiyo kanisa ambalo linapoona waumini wake wanapata shida basi huingilia kati,Japo baadhi ya wachambuzi wanaona hili suala ni geni na wanaona ni ajabu kwa kanisa kuingilia mambo ya kisiasa ama kiutawala, maana wanasahau kwamba Kanisa la Kikatoliki ni taasisi iliyokamilika katika kila Idara wana kila kitu ambacho Serikali yoyote iliyopo madarakani inapaswa kuwa nacho,kwa sasa Kanisa la katoliki lina waumini wasiopunguaa 1.285 Billion Duniani kote uku 49% wanatokea Marekani Kaskazini na Marekani kusini (Latin America) uko ndiko kuna wakatoliki wengi sana kuliko sehemu yoyote ile Duniani mpaka sasa.

Idadi ya waumini wa Kanisa la katoliki Duniani ikiwa inaongeza katika baadhi ya maeneo hususani Amerika na Afrika,hapo hapo waumini wake wamekuwa wakipungua Barani Ulaya,Bara la Afrika kila kukicha waumini wa Kanisa la katoliki wamekuwa wakiongezeka (Biggest Increases) Siku hadi sikuu,Wakati Bara la Ulaya waumini wa kikatoliki wakipunguaa (Big Declines) Afrika ndiyo wanaongezeka kwa kasi kubwa sana, Sensa ya mwaka ya mwaka 2010 na  2016 kutoka Vatcan ni kwamba kutoka waumini Million 45 mwaka 1970 wameongezeka mpaka kufikia idadi ya watu million 176 kufikiaa mwaka 2012, lakini inatazamiwa Idadi hiyo huenda imeongezeka kwenda watu Million 200 kote Barani Afrika mpaka 2018.Kwa Upande wa Afrika Congo ndiyo inaongoza kuwa na waumi wengi wa kikatoliki,mwaka 2012 tayari Congo ilikuwa na waumini zaidi ya Million 37 ila kwa sasa wanasemekana kufika 50.

Hivyo Congo inabaki kuwa taifa lenye waumini wengi zaidi Barani Afrika uku wakishika nafasi ya 9 Duniani kote,Kwa Upande wa Marekani ya kusini, Brazil ndiyo taifa linaongoza kuwa na waumini wengi Zaidi wa kikatoliki Duniani ,ambapo kulingana na Sensa ya Mwaka 2010 Brazil ilikuwa na waumini 150 ila kwa sasa idadi hiyo inasemekana kuongeza hadi kufikiaa 170 million.Na mpaka leo Congo waumini wengi ni Wakatoliki,80% ya watu wa Congo ni Wakatoliki na ndiyo maana tumeshuhudia katika Kanisa la Katoliki likiingia kati harakati za kumuondoa Joseph Kabila madarakani,Kanisa la Katoliki lilianza kuandaa mipango ya kumuondoa Kabila Madarakani mwaka 2015.Hata hivyo kanisa hilo Nchini Congo walifanya maandamano makubwa tarehe 20/12/2016 kumtaka Joseph Kabila kuachia Madaraka maana mda wake ulikuwa umeisha kulingana na katiba ya nchi hiyo.

Waumini wa Kanisa hilo na Upinzani walikumbana na upinzani mkali kutoka kwa Kabila ambapo kulitokea na machafuko makubwa ambapo zaidi ya 200 walijeruhiwa na wengine kupoteza Maisha lakini hata hivyo hawakuishia hapo waliendelea kufanya mazungumzo na Kabila ili kufikia makubaliana na mchango wa Kanisa Ulipekea Kabila kukubali kuachia Madaraka ndani ya siku 500 hatimaye siku hazigandi mnamo tarehe 30/12/2018 uchagu ulifanyika nchini humo.Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (CENI) kupitia mwenye kiti wake Corneille Nanga, mapema tarehe 09/01/2019 ilimtangaza Bwana Felix  Tshisekedi Tishilombo kuwa ndiyo mshindi wa uchaguzi huo na kumuuonesha Tishisekedi kuongoza dhidi ya wagombea wenzake wawili. Mkuu wa tume hiyo bwana Corneille Nangaa amesema kuwa Felix Tishisekedi alipata asilimia 38.57 ya kura zilizopigwa na "anatangazwa kuwa mshindi wa kimyang'anyiro hicho cha Urais nchini humo.

Kwa Mujibu wa katiba ya Kongo inapiga marufuku mtu au taasisi yoyote kutoa matokeo ya uchaguzi isipokuwa tume ya uchaguzi pekee (CENI), kwamujibu wa matokeo hayo Felix Tshisekedi Tishilombo wa chama cha UDPS ameonekana kushinda kwa kupata zaidi ya kura 7 milioni sawa na 38.57%  huku bw Fayulu kutoka muungano wa  LAMUKA akipata kura takriban 6.4 milioni sawa na 34.8% na huku mgombea wa serikali Emmanuel Ramazani Shadary wa chama cha FCC akipata takriban kura 4.4 milioni sawa na 23.8% ya kura zote zilizo hesabaiwa, kati ya wapiga kura million 18 walio piga kura katika uchaguzi huu, Kati ya wakongo milioni 40 walio jiandikisha kupiga kura lakini hata hivyo kanisa la Katoliki lenye wafuasi wengi nchini humu walidai kwamba kuna udanganyifu mkubwa umefanyika.

Hivyo kanisa la katoliki lenye kuonyesha kujiamini na kuw na uhakika kile wanachokifanya walidai wazi kwamba wana ushahidi wa kutosha na aliyeshinda uchaguzi mkuu nchini humo siyo Filex bali ni Martin Fayulu ambaye kulingana na wasimamizi wa kanisa la katoliki zaidi ya elfu 40 waliosimamia kikamilifu Uchaguzi huo walidai kwamba mshindi ni Martin Fayulu na kudai kwamba mpinzani huyo anayeungwa mkono na Pierre Bemba na Moize Katumbi ni kwamba Martin alishinda kwa zaidi ya 61% tofauti na matokeo yaliyotolewa na tume ya uchaguzi nchini humo,Hivyo basi Kanisa la katoliki likipewa chapuo na Ufaransa na pamoja na Marekani wakapingaa matokeo hayo na kutaka Uchunguzi ufanyike.mnamo tarehe 12/01/2012 Kiongozi wa Upinzani nchini Congo alienda kupinga katika mahakama ya Katiba nchini humoo kupinga ushindi wa Filex Tsheseked uku akipewa msaada mkubwa na kanisa la Katoliki nchini humo.

Kanisa la katoliki limekuwa imara sana miaka 2300 iliyopita,kanisa la katoliki limeshirki katika mageuzi mengi sana Barani Ulaya,Na viongozi wengi ambao walionekana kuuwa ama kukandamizani Kanisa hilo hawakuwahi kubaki salama tangu miaka ya nyuma,ni kanisa kubwa na lenye nguvu Duniani.Katika historia ama mageuzi ya kidemokrasia Kanisa la kikatoliki lina mchango kwa kiasi kikubwa mno, limekuwa mstari wa mbele kuhakikisha malengo yanafikiwa limekuwa mstari wa mbele kuhakikisha watu ama waumini wake hawakandamizwi ama kuteseka kwa namna moja ama nyingine.Twende kuangalia mchango wa kanisa la katoliki katika mageuzi ama mapinduzi ya kidemokrasia Duniani na hata sasa na kwa nini nasema kanisa la katoliki ni Idara ama Serikali iliyokamilika.

Mwaka 1620s mpaka mwaka 1230s katika utawala wa King Charls I ambapo utawala wake ulikuwa wa kibabe kuliko kawaida ambapo ilifika hatua alianza kuwaandama na kuwauwa viongozi wa kidini ya kikatoliki.Wakatoliki nchini Uingereza waliamua kuingia kwenye mgogoro mkubwa na mfalme King Charls I baada ya kuona mfalme huyo amekuwa tishio kubwa katika dini ya kikatoliki ,maana mfalme Charls I alikuwa anapambana kufuta dini hiyo ya wakatoliki na kuanzisha au kulipa nguvu kubwa kanisa lake la Church of England ambalo kwa sasa linajukana kama  Anglicana (Church of England).
Lakini mbali na ivoo king charls I uongozi wake ulikuwa na mapungufu makubwa ambayo ilikuwa ngumu kuvimilika,mnamo mwaka 1929 King Charls I alifuta Bunge kwa wa miaka 11,kwa lugha nyepesi alikuwa anaongoza nchi pasipo Bunge na kwa kufanya hivyo alisababisha hali kuwa mbaya ya Uchumi wa nchi kuwa mbaya sana kiuchumi na kiusalama pia kwa ujumla wake.

Kwa kuwa kanisa la katoliki lilikuwa na waumini wengi sana nchini England kwa wakati huo,na viongozi wengi walikuwa Serikalini,na kwa wakati huo Nchi ilikuwa inafanya kazi na Kanisa kwa ukaribu mno, lakini King Charls I aligoma kufanya kazi na Wakatoliki bila kujua kwamba Viongozi wengi waliokuwa katika Serikali yake yeye mwenyewe walikuwa ni Viongozi wa Dini pia na hata walipojaribu kumuonya alikuwa mkali na kuwatimua na ndiyo kipindi ambacho Viongozi wengi wa kanisa la Kikatoliki walikimbilia Marekani ya Kusini.Baada hali nchi kuwa mbaya zaidi waswahili wanasema nyani huwa haonagi Kundule,King Charls I aliamua kuitisha Bunge mwaka 1640 ikumbukwe kwamba Bunge alilifunga mwenyewe mwaka 1629.

Alivyojaribu kuwaita wabunge kuongea nao ili wajadili namna gani wanaweza kutatua kero za taifa la England lakini pia ni pamoja na kukusanya kodi ili utawala wake uendelee kuimarika.Baada ya kufanya hivyo Wabunge na Viongozi wa taifa hilo waligoma kuitikia wito wa King Charls I,Kwa kugha nyepesi ni kwamba walimsusia nchi King Charls I (King Charls I was Abandoned by the Parliament).Baada ya King Charls I kususiwa na Bunge alikosa nguvu na Ushawishi katika taifa la Uingereza (Great Britain) na kwa maana hiyo kila alichokuwa anataka kufanya kilishindikana hivyoo hali hii ilipelekea taifa hilo kuyumba kiuchumi ki amba wana baadhi ya Viongozi hawkutaka kuona hili linatokea kabisa na hata King Charls alichanganyikiwa na kushindwa kujua afanye nini kwa wakati huo isipokuwa aligeuka kuwa mbogo na kuanza kulazimisha watu walipe kodi kwa lazima bila kujua kwamba huo ndiyo mwisho wake ila hakutambua hilo bali aliyendelea kuongoza nchi kibabe.

Twende kwenye mkasa husika na kwa nini Kanisa la Katoliki ni taasisi iliyo kamilika,siku zote ukimya unapokuwa mwingi baina ya wanyonge basi atakaeibuka kuwatetea wanyonge huyo ndiye atakaekuwa mfalme, kamanda na kiongozi wa kanisa la katoliki Oliver cromwel,Oliver Crommwel alizaliwa mnamo tarehe 25/04/1599 kutoka katika jimbo la Huntingdon Uko Uingereza (United Kingdom),Oliver maisha yake yote amekulia na kulelea na kaniaa la katoliki,na yeye mwenyewe kwa asili ametokea katika uko wa Henry VIII na Baba yake mzazi alifahamika kama Thomas Crommwel,ukoo wao wote ni wakatoliki ambapo kwa wakati huo walijulikana kama Porutants (Wafuasi wa kanisa la katoliki) .

Kulingana na utaratibu na uwezo mkubwa wa kujieleza na kuongea kutoka kwa Oliver Cromwell Thomas,kulimfanya mwaka 1628 kutoa hotuba yeye kuvutia mbele ya wafuasi wa kanisa la Katoliki,kutokana na uwezo huo alikuja kuchaguliwa kama mbunge kuanzia mwaka 1628/30 kuwakilisha jimbo la Huntingdon Uko Uingereza.Hakuishia hapo tenaa Bwana Cromwell alichaguliwa tena kwa mara nyingine tenaa mwaka 1640,Oliver Cromwell alipambana sana na Serikali ya King Charls I na alikuwa ni mmoja wa wabunge ambao walikuwepo kwenye mkasa wa kufungiwa kwa Bunge mwaka 1629,hata hivyo Bwana Cromwell Thomas,mbali na kwamba alikuwa mbunge pia alikuwa ni kamanda wa ngazi za juu Uingereza.

Lakini kulingana na uwezo mkubwa wa kuongoza pia Cromwel alikuwa Kiongozi wa kidini hivyo alikuwa na ushawishi Jeshini,alikuwa na Ushawishi Kanisani pia alikuwana Ushawishi Serikalini.mnamo mwaka 1647/48 alianzisha Vita dhidi ya Ufalme wa Charls I ,kwa wakati huo jeshi liligawanyika katika pande mbili,kuna ambao walimuunga mkono Cromwel ambao hawa wengi wao walikuwa wafuasi wa Kanisa la Katoliki waliojulikana kama ROUNDHEADS na wale waliobaki upande wa Charls I ,walifahamika kama THE CAVALIERS,Cromwel aliunda kikosi chake au kikundi cha Siri ambacho kikundi hiki kilikuwa kinaundwa na wakatoliki watupu.

Kikundi hiki cha maporutants ambao walidhamilia kumuondoa King Charls Madarakani kwa vyoyote vile iwe kwa msaada wa Mungu ama kwa msaada wa Shetani,kikosi hicho kilifahamika kama Porutans Religious group lakini pia walifahamika kama Th Diggers,hata hivyo Kamanda Cromwell hakuwa mwenyewe bali alisaidiwa na General Thomas Fairfax na kwa umoja huo basi Oliver Cromwel alimtoa madarakani Charls I,Na mnamo1649 Oliver Crommwel alihidhinisha Kunyongwa kwa Charls I na mapinduzi yale yalifahamika kama Porutants Revokution,kwa lugha nyepesi ni kwamba Porutants ni wafuasi wa kanisa la katoliki.