Tuesday, January 29, 2019

UTUMWA WA TAMADUNI ZA KIMAGARIBIU KWA AFRIKA HAUEPUKIKI KWASABABU YA UMASIKINI WETU


UMASIKINI UMETUGEUZA KUWA WATUMWA WA TAMADUNI ZA KIMAGARIBI. 


 USHOGA, USAGAJI, NDOA ZA JINSIA MOJA NA KUBADILI JINSIA (LGBT).



Usemi wa mjini, "Bosi Huwa hanunuwi hata siku moja"; unatambua wazi kwamba huna sehemu ya kulala unamtukana baba mwenye nyumba unategemea nini..?  Zamani utasikia mama ama Baba anakwambia utajua utakapokula leo maana unaonekana umekuwa siku hizi kisa tu hujafanya kazi uliyopewa au umegoma kuchota maji ama hujaenda kulima au hujafanya vile wazazi wanavyotaka sasa wanakwambia utafute utakapolala na utafute pia kwa kula basi hapo yatafata na maneno mengine makali juu yako.



Hivyo ndivyo mataifa masikini yanavyopata shida katika kutekeleza matakwa ya mataifa makubwa ukienda kinyume utapewa onyo na ukijifanya unaleta kiburi basi wanakata misaada mpaka ufate vile wanavyotaka wao tofauti na hapo ukubali kula nyasi na kuendesha nchi kwa jasho na msoto usio wa kawaida na hapa ndipo  tunakamilisha msemo unaosema BOSI HUWA HANUNIWI.  Kuna sehemu nyingine wako sahihi maana wanatunyooshea viongozi ambao wameshindwa kuongoza  nchi kwa kufuata Katiba ya nchi na kushindwa kuheshimu mikataba ya kimataifa ambayo wamekuwa wakisaini kuanzia mwaka 1945, 1946, 1948, 1976, 1980s na mpaka miaka ya 2000s .



Suala la Ushoga ni suala nyeti tena katika unyeti wake na ni suala la muda mrefu sana kulingana na Historia ya mwanadamu kwa maana kwamba hata kabla ya ujio wa Dini watu walikuwa wanafanya mapenzi kinyume na maumbile (Same Sex Sexual).   Mambo yalikuwa yanafanyika hapo Mashariki ya kati ambako ndiyo chimbuko la mambo mengi sana. Baada tabia hiyo ilivyokuwa kubwa katika miji miwili ya kale sana yaani SODOMA na GOMORAH ndipo pale Mungu akatuma malaika wake na kuangamiza miji ile miwili kwa Moto na kufutilia mbali kizazi kile.  Lakini hata baada ya hapo jambo hili liliendelea kufanyika japo kwa siri kubwa sana miaka mingi baadae.



Baada ya miaka mingi kupita suala la Ushoga (Gaysim) lilikuwa linafanyika huko katika ngome za Uguriki (Anciant Greece)  lakini jambo hili lilikuwa linafanyika kwa siri sana tena katika majumba makubwa ya Kifalme.  Jambo hili lilikuwa linafanyika kwa Siri kubwa mno na wahusika wakubwa walikuwa watu wazito na maarufu. Ila kuna Sheria zilitengenezwa pia kwamba mtu akipatikana anafanya tendo hilo ambalo kwa sasa linajulikana kama (Homosexual) Basi Adhabu yake ilikuwa ni Kifo ama kunyongwa lakini adhabu hii ilitolewa kwa watu tabaka la chini na hata baada ya Utawala wa Ugiriki kupita zilifuata tawala zingine kama Roman Empire hata huko pia mambo haya yalikuwepo kwa kiasi fulani na yalipigwa vita sana ila yaliendelea kushamiri kadri siku zilivyokuwa zinazidi kuyoyoma.



Historia ya Ushoga ni ndefu sana kwa upande wa Marekani kwa ujumla wake mwaka 1513 Wafaransa na Waingereza walikuwa na Utamaduni wa kuwakamata RedIndians na kuwafanyisha mapenzi kinyume na maumbile kwa kuwatumia mbwa wao wa kivita yaani wanawakamata wahindi wekundu (Redindians) na kuwafunga Kamba alafu wanachukua mbwa tayari kwa kifanya nao tendo hilo kinyume na maumbile. Miaka ya 1600s mpaka mwaka 1700s Waingereza na Wafaransa walikuwa wanalazimisha wafungwa ama watumwa wao na kufanya nao mapenzi kinyume na maumbile na tabia hii iliendelea na kushamiri sana Marekani sana sana kwenye Kambi za kijeshi na kwenye Kambi za Watumwa kusini mwa majimbo ya Marekani na maeneo mengine.  Mwaka 1789 katika katiba ya Marekani waliruhusu mambo mengi ambayo kwa huku kwetu Afrika ni katazo japo miaka  imeenda wakaamua kuidhinisha na kuonekana ni jambo la kawaida na umekuwa utamaduni wao na sasa wanataka na mataifa mengine wafanya hivyo wakidai ni haki ya mtu kutumia mwili wake anavyotaka yeye.



Twende mbele kidogo waungwana mnamo mwaka 1967 Bunge la Uingereza walipitisha kifungu kwenye katiba yao kuruhusu ndoa ya jinsia moja (Gaysim & Lesbians) hivyo ni jambo la kawaida sana Uingereza na mataifa mengine mengi barani Ulaya na ndoa hizi zimekuwa zikifungwa Katika Makanisa Makubwa Barani Ulaya na inafanyika bonge la sherehe na huu ndiyo utamaduni wao na wanaofanya hivi ni viongozi wakubwa wa kiserikali na wamiliki wa makapampuni makubwa na viwanda katika taifa kama Uholanzi, Ujerumani, Poland, Swiden, Denmark, Lativia kuna idadi kubwa ya ndoa za jinsia moja na wale wanaofanya tendo la ndoa katika jinsia moja yaani Homosexual. Sasa hawa wanaofanya hivyo ndiyo wafadhili wakubwa wa Miradi mbalimbali katika Bara hili la Afrika na katika hilo hakuna ubishi yaani hawa ndiyo wanalifanya Bara la Afrika linapiga hatua kimaendeleo maana Mataifa mengi ya Afrika yanaongoza Nchi kwa kutegemea misaada. Umoja wa Afrika (AU) unategemea pesa kutoka Ulaya kwa takbani asilimia 70%.



Haya mambo ni mazito mno, haya mambo ni nyeti maana yana unyeti wake. Historia inaonyesha kwamba mwaka 1990 ndiyo mwaka pekee ambao mashoga walifikia mafanikio makubwa katika harakati zao za kutaka Serikali ya Marekani waruhusu kile walichokiita LGBT yaani Lesbians, Gaysm, Bisexual na Transgenda na kuanzia miaka hiyo LGBT iliruhusiwa lakini katika majimbo machache sana nchini. Mpaka kufika mwaka 1998 idadi ya wahusika iliongeza maradufu na kupata uungwaji mkono mkubwa sana kwa wanachama wa Jinsia moja yaani usagaji, ushoga, ndoa za jinsia moja, kubadilisha Jinsia. Marekani unaruhusiwa kubadili jinsia kutoka wa kike kwenda wa kiume au kutoka wa kiume kwenda wa kike kule unaruhusiwa (BE THAT YOU CAN BE).



Wanaharakati wa LGBT waliingia mtaani kuhamasisha watu wajitokeze kwa wingi ili kuunga mkono mambo yote hayo ambayo yametajwa hapo juu na kwa kuwa watu hawa wana ushawishi na wako kwenye nafasi za juu Serikalini na wengi wao ni watu maarufu na wenye pesa chafu hatimaye mnamo 26/06/ 2003 mahakama ya juu kabisa nchini Marekani (US Suprime Court)  ilihidhinisha suala la Ushoga, Usagaji, ndoa za Jinsia moja na kubalidilisha jinsia na mambo mengine katika majimbo 23 pekee. Kutokana Marekani kuunga mkono sakata hilo mashoga walianza kuongezeka kwa kasi ya ajabu. Ikafika wakati wakawa wanaruhusiwa kufanya hivyo mpaka makanisa  yakaruhusu ama kuhalalisha jambo husika na ndoa zinafungwa kama kawaida Makanisani na kwa kutumia uwezo wa taifa hilo kubwa Duniani wanataka kuona utamaduni huo unakubalika katika mataifa karibia yote Duniani kwa hiari ama kwa lazima kama unajiweza katika kila kitu pinga kama hujiwezi hunabudi kuungana nao.



Wajuvi na wadadavuaji wa mambo wanakwambia Amerika wanacheza karata yao vyema sana (Americans play the Cards Rights). Bado mambo yanaendelea, mwaka 2012 Rais wa 44 wa Marekani Bwa. Barack Obama aliwahi kusema kwamba Marekani ndiyo sehemu pekee Duniani kwamba kila kitu kinawezekana na sehemu pekee pia ambayo mtu anaweza akazifikia ndoto zake. Maneno haya ni mazito mnoo kwa mtu ambayo anajua kutafakari vema. Mnamo 26/06/2015 mahakama ya juu ya Marekani ikatoa kibali cha Kuruhusu LGBT katika majimbo yote 54 hivyo basi ushoga kwa ni kitu ambacho kimehalalishwa na wala hawaoni shida na mataifa yote Barani Ulaya na Canada suala la ushoga limeruhusiwa na wanataka kuona na mataifa mengine mnafuata utamaduni huo hakika na hawataki kuona mashoga wanaonenewa ama kunyanyaswa. Kufanya hivyo utawekewa vikwazo vya kichumi na Marekani ama Bara la Ulaya hutaingia Kamwe.



Vivyo hivyo katika mambo mengine wanakosea pale wanapoingilia tamaduni zetu na kutuamulia baadhi ya mambo japo hatuna budi kufuata maana tumekubali kuwa masikini na tumekubali kwamba bila misaada hatuendi popote. Mambo ya ushoga ni mambo mazito sana huwezi kuyatatua kwa kutaja watu pasipo msingi wowote lazima kama taifa likae chini na kutathimi nini kifanyike lakini siyo kwa kukurupuka sijajua ile operation imeishia wapi na je ni mashoga wangapi wamekatwa mpaka sasa japokuwa hatari yake ni kubwa mno. Mtu pekee aliyekuwa anaweza kukemea alikuwa ni Roberty Mugabe  lakini na yeye baada ya kutumia nguvu kubwa mpaka kuongea hayo Umoja wa Kimataifa kwa kupinga mambo ya Ushoga (Gaysim) aliishia kuwekawa vikwazo vizito vya kiuchumi (Economic Sunctions)  ambayo imeipelekea Zimbabwe kudhohofika kiuchumi  japo kuna sababu nyingine nyingi nyingine za Kisiasa, umasikini wetu unatufanya tushindwe kupinga ama kukemea hadharani ushetani wa Kimagharibi Kama Ushoga na Mambo mengine ya kushangaza.



Uganda mwaka 2015-2016 walitengeneza sheria kali sana dhidi ya mashoga na mpaka wakawa wanawauwa na kuwachoma moto  lakini wakubwa waliposikia  hakuna rangi waliacha kuona na mpaka sasa sheria ile waliifutilia mbali na sijui Uganda waliishia wapi na Operation yao ya kuwakamata na kupiga mawe mashoga kama mbwa mwitu au na wao ilkuwa ni mihemko tu. Madhara yake ni makubwa mnoo mpaka Leo Mseveni kwenda Marekani ni changamoto maana mara ya mwisho alitumuliwa akiwa hotelini nchini Marekani kisa alikuwa kinara wa kupinga ushoga Afrika. Mambo kama haya hayawezi kutatuliwa kwa matamko ama nguvu fulani lazima viongozi wa Bara la Afrika wakae na kuja na msimamo mmoja ambao utakuwa unatambulika na Umoja wa Kimataifa japo natambua jambo kama hili kutendeka ni ngumu Ila lazima Umoja wa Afrika (African Union)  usimame na kutoa tamko lakini kumuachia Makonda peke yake ni kumtoa kafara.



Kumuachia Mseven pekee yake pia ni kumtoa kafara kama alivyoachiwa Gabriel Roberty Mugabe pekee yake pia walimtoa kafara. Afrika waje na msimamo thabiti lakini siyo matamko na vitisho vya mtu mmoja mmoja maana matamko  haya yamejaa mihemko hayatasaidia maana haya mambo ni mazito sana hayafai kuyaendesha kisiasa. Mtu mmoja kusimama ni kama kumpigia kelele tembo ukitegemea hatakunywa maji. Tatizo linakuja kwamba viongozi wengi wa Bara la Afrika wanapoenda kwenye  Mataifa ya watu na kuambiwa wasaini mikataba wao wanasoma Kichwa cha Habari na kudondosha wino na linapotokea jambo wanaanza kupinga huku kifua mbele na wanasahau kwamba walisaini hicho wanachopinga na kukishangilia. Mikataba juu  ya kuheshimu haki za binadamu walisaini mwaka 1946, mwaka 1980s, mwaka 1970s, mwaka 1990s na mingineyo ilisainiwa miaka ya 2000s. Viongozi hawakuelewa maana ya Haki za Binadamu na endapo hawakuelewa basi hawana budi kurejea Mikataba mbalimbali iliyowahi kusainiwa. Hivyo kama viongozi lazima mtulize kichwa siyo kudandia dandia tu mambo wasiyokuwa na taarifa nayo.



Unajua Dunia inakwenda kwa kasi sana ambayo mengine hatupaswi kuendelea kuyakumbatia maana yamekwishapitwa na wakati yalikuwepo mambo mengi sana ya ajabu hapo awali kwa sasa yameonekana hayana maana yamekuja mengine mapya hivyo taifa lolote lile halipaswi kushindwa kwenda na mabadiliko haya makubwa japo mambo mengine kama ya ushoga haya ni paradox sana yalikuwepo tangu enzi na yameendelea kuwepo haya yanaoneka kutuzidi uwezo ila hakuna shida tuendele kupambana maana atakuja huyu atapalilia, atakuja yule anatavuna na mwingine atakula hivyo tulipofika siyo mbaya.

Wanawake Kutofanya Mapenzi mara kwa mara hupata ugonjwa wa kusahu


Wanawake Kutofanya Mapenzi  mara kwa  husababishwa kupata  ugonjwa wa kunyong'onyea kwa akili 
Daktari wa akili, Dr Maymunah Kadiri siku ya Jumamosi aliwashauri wanawake walioolewa kuwa na ngono ya kawaida na mwenzi wao ili kuzuia unyogovu na kupata furaha.
Unyogovu ni ugonjwa wa kawaida wa akili unaosababisha watu kuwa na hisia za huzuni, kupoteza maslahi au furaha, hisia za hatia au chini ya thamani, kulala usumbufu au hamu, nishati ya chini, na ukolezi mbaya.
Kadiri, Mkurugenzi wa Matibabu wa Huduma za Matibabu ya Pinnacle alitoa ushauri katika mahojiano na Shirika la Habari la Nigeria (NAN) huko Lagos.
Pinnacle ni kituo cha afya na ustawi wa masuala ya kisaikolojia, ya tabia, na ya kisaikolojia.
Kulingana na yeye, ngono sio tu kulisha mwili wa mwanamke, lakini pia ni ya manufaa kwa afya yake ya akili.
"Kama wanawake, kuna haja ya sisi kufanya wapenzi wetu marafiki zetu bora kama tunataka kuwa na afya ya akili.
"Uchunguzi umeonyesha kuwa wanawake ambao wana ngono zaidi na katika mahusiano ya muda mrefu hawakuwa na wasiwasi mdogo kuliko wanawake ambao hawakuenda ngono.
"Hivyo, ngono zaidi ni muhimu na muhimu. Ni dawa ya kutibu wanawake kutokana na kuwa na maumivu ya kichwa.
"Low gari ngono, ambayo inaongoza kwa unyogovu, inapaswa kuonekana ndani. Mwanamke anaweza kuwa na huzuni wakati gari la ngono ambalo alikuwa amekuwa nalo haipo tena.
"Kazi ya mara kwa mara ya ngono inaweza kucheza majukumu mazuri kwa hali ya wanawake ya ustawi na ubora wa maisha," 'alisema Kadiri.
Alifafanua kuwa ngono hakuwa tu kwa uzazi na kuwa na watoto, akiongezea kwamba inaweza kuunda ushirika, ushirika mzuri na usingizi wa sauti.
Kadiri, maarufu kuitwa 'celebrity shrink', alisisitiza wanawake kushughulika na huzuni kwa mara nyingi kujiingiza katika ngono, wakati kuongeza self yao heshima.
Pia alitoa ushauri kwa wanawake ambao ni zaidi ya uzito wa kuhusisha pia katika ngono ya kufanya kazi, wakisema kuwa kufanya hivyo itaongeza endorphins ambayo ni homoni zinazofurahi.
"Homoni za furaha zitasababisha kupoteza baadhi ya kalori pamoja na kulala bora.
"Orgasms husababisha kutolewa kwa endorphins ambazo ni homoni zenye furaha zilizobuniwa na ubongo ambazo hufanya kama wavulanaji wa ufanisi," alisema.
Aliongeza kuwa ngono haikuwa ya manufaa tu kwa wanaume, lakini hasa kwa wanawake kwa sababu ilikuwa na uwezo wa kuwaachilia kutoka shida.
Ngono ipasavyo. (Kwa walioolewa tu). Watu wengi hawashirikiana na Mungu - wanashirikiana na Shetani na giza, kama ngono sio takatifu .Sehemu ni takatifu ndani ya ndoa, na hakuna mtindo uliowekwa.
Si kujadili ngono katika uhusiano unaongoza kwa talaka! Nimewashauri wanawake ambao wamelalamika: mume wangu anipenda kama mimi ni dada yake. Kulikuwa na mtu ambaye aliniambia: Nimechoka kupata ngono mara mbili kila siku, kama mshahara. Nilimwambia alikuwa na bahati ya kupata ngono mara mbili usiku, kwa kuwa baadhi ya wake hupata tu siku kuu, kama uchaguzi na Krismasi na siku za kuzaliwa
Waume wengi huwaacha wake zao kutafuta raha za ngono katika Avenues. Je! Umewahi kujiuliza ni nini wanawake hao wanavyo ambacho huna. Wanawake wamekuwa sana frigid na hata kulala na panties zao. Ikiwa wewe ni mwanamke aliyeolewa, unapaswa kulala uchi na basi bum yako ikamgusa mume wako.
Leo unapata wanaume wakiondoka kwenye njia yao ili kupata picha ya uke. Wanasoma kupitia magazeti na hata kwenda idara za lingerie katika maduka ya matumaini ya kuona kile kilichofichwa chini ya panties kwa sababu wake zao wanaficha kutoka kwao. Ndoa ni kuhusu kuwa huru na mwili wako mbele ya mpenzi wako.
Mwanamke anapaswa kupiga nguo uchi na kufanya mfano kwa kumjaribu mumewe. Kuna wanawake wengi walioolewa ambao hawajui nini penise ya mume wao inaonekana. Yeye anahisi tu wakati anaingia ndani yake. Hajawahi kuugusa, basi peke yake kuiona, kwa sababu mume anazimisha taa kabla ya kufuta. Uume ni toy ya mke - anahitajika kucheza nayo.
Ninawashutumu wanandoa kwa kutofanya wakati wa ngono na kulalamika juu ya kuwa nimechoka baada ya kazi ya siku. Unapata wanandoa wengi ambao wamekuwa na njaa ya ngono kwa miaka. Mungu aliunda ngono kwa uzazi na pia kwa radhi. Huwezi kuoa na hauna wakati mzuri katika kitanda.
NI NANI aliyekutaja tu kuwa na mjanja wakati wa usiku?
Kwa nini huwezi kuendesha nyumbani wakati wa chakula cha mchana na kuwa na quickie na mke wako? Sisi sote tuna sawa katika ngono - sio tu kuhusu mwanamke mwenye kuridhisha mtu. Unapaswa kukidhiana. Je! Umewahi kumwona mwanamke aliyekuwa ameridhika? Je! Umeona jinsi anavyoweza kuvuta na kuwa juhudi?
Mungu akubariki.
Huu ndio Kweli Yote, Hakuna Kitu Lakini Kweli. Mara baada ya kusoma hii unapaswa kuendelea. Umri hauhusiani na ngono. Uzee ni zaidi unapaswa kufurahia lakini uifanye njia ya Mungu.
Hakikisha mke wako anasoma hii. Pia Tuma kwa marafiki wako wote wa ndoa, Grandmas & grandpas kutuma kwa watoto wako ndoa. Unaweza tu kuokoa ndoa kutokana na talaka.
Hebu LOVE & SEX kujaza ndoa yako.
Amani iwe kwa ndoa yako, Kwa jina la Mungu

SABABU ZA BIASHRA KUFELI*

SABABU ZA BIASHRA KUFELI*

Zifahamu sababu za kufa kwa biashara nyingi na jinsi ya kuepekana na tatizo hilo

Unapoingia kwenye biashara kichwa kichwa bila kujua mambo yatakayokusaidia kukuweza kukua katika biashara hiyo elewa kuwa kama hautokuwa makini ipo siku biashara hiyo itakufa tu, na ukweli usipungua wafanyabiashara wengi,  wao ndio huchangia kwa kiasi kikubwa biashara zao kufa.
*Na zifutazo ndizo sababu za biashara nyingi kufa, hivyo mfanyabiashara ni lazima awe makini na mambo haya ili biashara yake isiweze kufa*

Kutokuwa na elimu ya biashara
Ili kufanikiwa kibiashara ni lazima wewe kuwa na elimu ya kutosha kibiashara. Pengine unataka kujiuliza nitaipata wapi sasa? Sikiliza huhitaji gharama kubwa sana kuipata. Unaweza kujifunza kupitia semina, huwezi hilo unaweza kujifunza kupitia mitandao ya kuhamasisha au ukanunua vitabu vinavyohusu biashara ukajifunza polepole. Lakini kikubwa usiikose elimu hii, vinginevyo utapoteza mengi ikiwa pamoja na biashara yako.

Kuwa makini na matumizi ya pesa
Hakikisha matumizi yako yanakuwa ya gharama ya chini,  ukitumia pesa vibaya Kama  kwenye biashara yako  huwezi kufika mbali. Ni lazima uwe na mpangilio mzuri wa matumizi yako ya pesa ili kuifanya biashara yako ikazidi kuendelea.Kuwa makini na pesa zako. Tofauti na hapo biashara yako itakufa tu hata kama sio leo, lakini lazima itakufa.

Kukosa ubunifu
Ili uweze kukabiliana na ushindani, ubunifu ni muhimu sana katika biashara yako. Bila kuwa mbunifu huwezi kufanikiwa katika hiyo biashara kutokana na mazingira ya ushindani mkubwa tulionao kwa sasa. Kwa hiyo ni lazima kuwa mbunifu na kuifanya biashara yako ikaonekana ya tofauti na kukupa wateja wa kutosha.

Wengi wanaoshindwa kwenye biashara ni wale walioingia kwa kiburi cha mtaji mkubwa na kusahau ubunifu. Haijalishi unafanya biashara ndogo au kubwa weka ubunifu. Kila wakati tafuta ni kitu gani biashara yako inakosa, kisha kiboreshe zaidi. Jitahidi sana kuweka ubunifu ili kuifanya biashara yako iwe hai siku zote, vinginevyo utaiua.

Kukosa nidhamu
Kama unaendesha biashara yako na ukakosa nidhamu ya kuiendesha biashara hiyo, elewa kabisa utakuwa na mchango mkubwa sana wa kuiua. Nidhamu ni msingi mkubwa sana wa mafanikio yoyote na sio biashara tu peke yake. Jaribu kuangalia watu wote wenye nidhamu ya kazi mafanikio yao yakoje? Bila shaka ni makubwa.

Biashara nyingi sana zinazokufa huku zikiwa na mtaji mkubwa mara nyingi hukosa nidhamu. Tuchukulie una duka la reja reja, huwezi kufanikiwa ikiwa unafungua na kufunga unavyotaka. Ni lazima uwe una nidhamu ya muda, nidhamu ya kuwajali wateja au nidhamu ya kauli nzuri. Kwa kukosa nidhamu hizi biashara itakufa tu hata iwe kubwa vipi.

Kukosa wateja
Kati ya kiungo muhimu sana kwenye biashara yako ni wateja. Bila wateja hakuna biashara inayoweza kufanyika. Sasa kama utakuwa huna wateja hiyo inamaanisha biashara yako kwa vyovyote vile itaenda kufa hata ufanye nini. Maana hao ndio wawezeshaji wakubwa kwenye biashara yako kuendelea.

Sasa huwa zipo sababu zinazopelekea biashara hii ikakosa wateja na nyingine ikawa na watej wengi. Hivyo ni vyema ukazijua sababu hizo ili zikusaidie kuweza kujenga biashara ya uhakika na yenye mafanikio makubwa.

Kukosa vipaumbele
Biashara yoyote iwe inanza au inaendelea ni lazima iwe na vipaumbele vya msingi ambavyo vinatakiwa vifuatwe kila siku. Kama kipaumbele chako kimojawapo ni kutaka kukuza mtaji ni vyema ukawa makini kuhakikisha hilo linatimia na kutekelezeka kwa haraka sana.

Lakini kama pia vipaumbele vyako ni kuhakikisha unadumisha mahusianao mazuri na wateja wako, pia ni bora ukatekeleza. Unapokosa vipaumbele hata vile unavyoviona ni vidogo ni rahisi sana kwa biashara yako kuweza kufa na kushindwa kuendelea hata kama ina mtaji wa kutosha. Kwa sababu hapa tunasema biashara inakuwa inakosa dira maalumu.

Friday, January 25, 2019

KUZUILIWA KWA PATRICK OTTIENO LUMUMBA


KUZUILIWA KWA PATRICK OTTIENO LUMUMBA NCHINI ZAMBIA ILIKUWA NI AMRI KUU KUTOKA SERIKALI YA CHINA KUPITIA UBALOZI WAKE NCHINI ZAMBIA.


PATRICK OTTIENO LUMUMBA


Ni mmoja kati ya mwanasheria machachari maarufu na mkongwe nchini Kenya (Kenyan Prominent Lawyer) ambaye pia alikuwepo  kwenye jopo la wanasheria wakuu (Kenyan Electral Commission)  ambao walitengua uchaguzi mkuu nchini humo. Ambao ulikuwa na ukakasi pamoja na udanganyifu mwingi ndani yake mwishoni mwa 2017.Amekuwa ni mtu muhimu katika maendeleo ya Afrika kwa kuibua hoja nzito ambayo imeonekana kufanyiwa kazi katika mataifa mbalimbali kwa lengo la kukafanikisha agenda 2063.

kama tunavyojua kwamba Bara la Afrika liko nyuma kimaendeleo kwa sababu ya rushwa PLO ni mwasisi na mkurugenzi  wa Ant-Corruption Movement aliyoanzisha mwenyewe mwaka 2010 ambayo pia haikudumu sana. Amekuwa mhamasishaji, mkosoaji na mshauri mkubwa kwa vijana wasomi, wanasiasa, viongozi wa dini na kwa viongozi walioko madarakani. Hakika ni mtu wa kipekee sana (Gifted/Talented/Oratory and Motivational Speaker). Amekuwa akiwaasa vijana na viongozi kote barani Afrika namna gani wanaweza  kujikomboa kifikra na namna ya kulikomboa bara la Afrika ambalo lipo mguu nje mguu ndani  kwa kipitindi cha miaka 60 sasa.

Prof Patrick Otieno Lumumba ni mmoja kati  ya Pan-Africanist wa kweli na mwanamageuzi ama mwanabadiliko wa uhakika ambaye kwa namna moja au nyingine Afrika na vitongoji vyake inapaswa kujivunia (The Optmist & Academician). Prof Lumumba ni moja ya watu makani na mzalendo ambae anapambana fika kuona kwamba miaka 20 baadae Bara la Afrika litakuwa la mfano na kwa asilimia kubwa liweze kujitegemea angalau kwa asilimia 80% kuweza kuhudumia watu wake na kuwafanya wafurahi kuishi Afrika tofauti na ilivyo sasa kwamba kila kona ya Afrika kunavuja damu na vilio visivyoisha. Wengi wanapenda kumfananisha na Baba wa Taifa la Congo Patrick Lumumba na wengine wanamfananisha na Dr. Osagyevo Nkwame Nkuruma Baba wa Taifa la Ghana kulingana na uwezo wake mkubwa wa kuichambua Afrika na vitongozi vyake kwa mapana Zaidi.

Ni moja kati ya wasomi wachache ambao kwa ujumla Afrika Nzima inajivunia kuwa naye ambaye anaonekana kuwafuta machozi na kuwatia moyo wanyonge kwamba bado tunayo nafasi ya kufanya vyema zaidi. Mwanasheria huyu amekuwa mtetezi mkubwa wa wanyonge kwa kupigania utawala bora na Sheria (Rule of Law),  uwajibikaji na uwazi  kote barani Afrika na kupinga vikali nchi kuongozwa kwa faida ya wachache yaani (Rule of Mob & Kleptocracy). 

Amekuwa mstari wa mbele kutokufumbia macho maovu na uvunjifu wa Amani unaoendelea Afrika. Amekuwa akikosoa vikali Serikali ambazo haziwajibiki ipasavyo kama vile Congo, Zimbabwe, Cameroon, Burundi, Togo, Nigeria, Sudan pamoja na Afrika ya kati na mataifa mengine ambayo yanaongozwa kama gari bovu,ana maono mapana juu ya Afrika na vitongoji vyake. Lakini pia ni mshauri mkubwa dhidi ya uongozi mbaya na amekuwa akipinga waziwazi  ruswa na matamuzi mabaya ya malighafi za Serikali Kote barani Afrika (Ant-Corruption Crusader) .

PLO Lumumba ni kama vijana wengine wa kiafrika ambapo tulio wengi tunatoka katika familia za kimasikini yaana kwangu pakavu tia maji kama waswahili ama wahenga wanavyo dadavua. Alizaliwa na kukulia katika kijiji kinaitwa Usenge pembezoni kabisa mwa Ziwa Victoria huko Kenya. Na katika elimu yake ya awali yaani ya Msingi (Elimentary School) aliipatia hapo hapo kijijini kwao kilichofahamika kama Usenge. 

Patrick Loch Otieno Lumumba hakuishia hapo alihamia katika shule inaitwa St Patrick iliyopatikana Nairobi na baadae kupata elimu yake ya sekondari katika shule iliyojulikana kama Pwani Secondary School (Ordinaly Level). Kwa kuwa alionekana kupenda kusoma na kuwa mdadisi tangu utotoni mwake wala hakuishia hapo tu mnamo mwaka 1979 alijiunga na kidato cha sita (Advanced Level) katika shule iliyojulikana kama Ambira High School iliyomfungulia njia ya yeye kwenda kujiunga na chuo kikuu huko huko Nairobi miaka hiyo hiyo 80s.

Patrick Loch Otieno Lumumba alitabiliwa tangu akiwa mdogo kwamba atakuja kuwa mtu muhimu katika taifa lake na Afrika kwa ujumla maana alianza kuonyesha utashi na ufuatiliaji wa mambo na vijambo tangu akiwa mdogo alipenda sana kusoma na kufuatilia mambo ya kihistoria hususani barani Afrika. Alianza kufuata nyayo za kina Nkwame Nkurumah na Patrick Lumumba tangu akiwa kijana hivyo walimu wake  kumtabiria makubwa mbeleni. 

Patrick Loch Lumumba alipata Degree yake ya kwanza akiwa kijana mdogo sana katika miaka 23. Hakuishia hapo tu kielimu aliendelea mbele na kuchukua Shahada ya sheria (Degree of Laws) na baadae kidogo akachukua  Masters ya Sheria huko Nairobi University . Hakuishia hapo akaenda kusoma Ubelgiji katika chuo kikuu cha Ghent (University of Ghent) ambako alisomea Udaktari katika sheria (Doctor of Law), hakuishia hapo alienda kusoma Ghana (University of Cape) ambako alienda kuongeza elimu yake zaidi na kusomea kile kinachojulikana kama Doctor of Letters ambako katika mataifa mengi ya kiafrika wanaitambua kama PhD.

Kuna ambao wanamfananisha na Thoma Isodore Sankara kulingana na uweledi, utashi  na uwelewa  mkubwa juu ya Bara hili la Afrika. Ni msomi anayethubutu na kusimama kwa kukemea uongozi mbovu na wa kizandiki pasipo kuogopa kitu chochote kile ili mradi sauti isikike na ukweli ufike. Patrick Loch Otieno Lumumba ndiyo jina lake kamili, Msomi huyu alizaliwa kama wanadamu wengine tarehe 17/06/1962, kwa lugha ya kawaida alizaliwa katika kipindi ambacho mataifa mengi ya Bara la Afrika yakiwa katika harakati za ukombozi. 

Alipewa jina la Lumumba na Baba yake mzazi ambaye alikuwa anamkubali sana Baba wa Taifa la Congo Patrick Emiery Lumumba ambaye wengi walimuona kama mkombozi wa wanyonge. Amekuwa akialikwa na kuzunguka katika mataifa mbali mbali barani Afrika katika kutoa mwongozo na kukemea uongozi wotewote ambao unakwenda kinyume na mahitaji ya wananchi. Patrick Lumumba ndiyo msomi pekee mpaka sasa ambaye ameonekana kuisoma na kulifahamu kwa karibu zaidi bara la Afrika.

Amekuwa akialikwa katika mijadala mbalimbali inayohusu Afrika hususani Rushwa, Uongozi mbaya na wa kimabavu, ukiritimba, Maendeleo ya kiviwanda na kuzungumza namna gani Afrika inaweza kujinasua kutoka katika mikono ya wazungu na kuanza na  kujitegemea. Ameenda katika mataifa mengi sana kuhubiri juu ya Umoja na mshikamano wa Bara la Afrka (Pan-Afrikanisim), amepata nafasi ya kutembelea bara la Afrika ambalo pengine maprofesa wengi hawajafanikiwa kupata hiyo nafasi. 

Kuanzia mwaka 2010 mpaka 2018 amefanikiwa kushiriki katika mijadala mikubwa mfano mwaka huu alialikwa Umoja wa Afrika (AU), mapema 9/09/2018 alikuwa Afrika Kusini katika kumbukumbu ya Ya Nelson Mandela kutimiza miaka 100 tangu kuzaliwa kwake lakini siyo mara yake ya kwanza kwenda Afrika kusinia alialikwa pia katika  kumbukumbu za kijana mdogo na mtetezi wa watu weusi bwana Abrahamu Tirro katika chuo kikuu cha Limpopo na tarehe 18/7/2018 alikuwa huko akigusia juu ya Mgogoro wa Ardhi ambao umedumu kwa muda miaka zaidi ya 70 sasa (Land Problems).

Amekuwa akienda Rwanda mara kwa mara sana sana katika kuadhimisha mauji ya kimbali ya mwaka 1994 (Rwandani Memorial Genocides) alihutubia katika taifa hilo kwa mara ya kwanza 2014 lakini pia alipata kutembelea Rwanda 14/09/2018 kujumuika katika kongamano lililojulikana kama African Religious and Leadership bado hakuishia hapo kulingana na uwezo wake mkubwa wa kuongea na kulichambua vyema Bara la Afrika alialikwa tena tarehe 18/05/2018 kuzungumzia masuala ya Ulinzi na Usalama (National Security Symposium)  mbele ya viongozi wakubwa wa Kijeshi pamoja na maafisa usalama wengine amekuwa akizunguka Afrika hii kuwaamsha waliolala na wale ambao hawapendi kuona Afrika inasonga mbele (Pesmism).

Bado hakuishia hapo  Prof Ottieno Loch Lumumba amekuwa akizidi kung'aa maana ameonekana wazi kwamba yeye ni mzalendo aliyekamilika, Viongozi wa aina mbalimbali pamoja na Wasomi wanatamani kumsikiliza maana amekuwa ni chachu ya mabadiliko na kuwafanya wale wasiopenda kufikiria waanze kufikiri. Prof Loch Ottieno Lumumba alialikwa pia katika Chuo kikuu cha Daresalaam (Tanzania) tarehe 17/06/2017 kuzungumzia kile alichokiita Magulification of Afrika ambapo aliona hatua ambazo anazitumia Magufuli zingetumika Afrika nzima. Alipata pia mwaliko kutoka chuo kikuu cha  Gambia ikumbukwe tu kwamba Gambia wana chuo kikuu kimoja tuu, akiwa Gambia alizungumzia juu ya kile alichokiita Uongozi wa Afrika pamoja ni kuzungumzia mabadiliko katika Elimu ya Afrika (African Leadership & Mis-Education of Afrika) aliongea mengi sana juu ya Bara hili la Afrika.

Ni nadra sana kuona mtu anazinguka Afrika nzima kuhubiri juu ya Utawala bora na kuepuka utawala wa kimabavu baina ya Viongozi wa Afrika, amekuwa ni mtu wa kipekee sana maana anayaibua mawazo ya waasisi wa Bara hili kama wakina Nkwame Nkuruma, George Padmore, Hazisting Kamuzu Banda, Keita Modibo, Haile Selas, Muhammad Sokou Toure, Jomo kinyatta, Abrahamu Tiro, Stiven Bantu Biko Abdel Gamal Naser, Muhammad Anwar El Sadat pamoja na Mwal Julius Kambarage Nyerere. 

Patrice Otieno Lumumba amekuwa ndiyo mtu pekee kutukumbusha kwamba wapi tumetoka na wapi tunakwenda anataka kuona Afrika inapiga hatua (Afrika Arise). Mungu amemjalia kuona matatizo na kuyaweka hadharani na kuyatolea ufumbuzi amewapa changamoto viongozi wengi waliogeuza Ikulu pango la walanguzi na sehemu ya kujitajirisha, Amekuwa akizikumbusha jumia mbalimbali kama SADC, ECOWAS, EAC, AU na COMESA kutokusahau majukumu yao bali matatizo yanapotokea wanapaswa kuchukua hatua za makusudi mapema maana Bara la Afrika ni kwa ajili ya Waafrika.

Kulingana na uwezo mkubwa na uthubutu wake wa kuyaanika hadharani matatizo ya Afrika na kuyatolea ufumbuzi amekuwa ni lulu na Chachu kwa wanasiasa Chipukuzi na wale walioko Madarakani, mnamo 6/09/2017 alipata kualikwa  Namibia katika mada iliyojulikana kama  "AFRIKA UNLEASHED HER POTENTIALS' (make Afrika Better and not Bitter ). Aliongea mengi sana na kuwakumbusha Viongozi wetu kuhakikisha wanalifanya Bara la Afrika kuwa sehemu salama na siyo sehemu chungu. 

Akiwa Namibia aliwakumbusha pia Viongozi wa Afrika kwamba wawe makini na uwepo wa China ila wahakikishe kwamba wakina mama kwa watoto pamoja na Vijana wanafurahia kuishi Afrika alienda mbali sana kuhakikisha haki inatendeka kwa kila raia.  Msumbiji na Cameroon alienda pamoja na Ghana lakini pia tarehe 10/11/2018 alialikwa Havard Univarsity na wanafunzi wenye asili ya Afrika kuzungumzia tatizo la umasikini na njaa Barani Afrika amewahi kualikwa Uganda na katika mataifa mengi ambayo sijayataja hapa juu huyo ndiyo Prof Ottieno Partrick Lumumba.

OSAMA BIN LADEN

JINSI OSAMA BIN LADEN ALIVYOUAWA 

OPARESHENI NEPTUNE SPEAR

Baada ya kupatikana uhakika kuwa Osama Bin Laden anaishi ndani jumba hilo lililopo Abbottabad, CIA wakafanya kikao maalum na Jemedali Msaidizi (Vice Admiral) William H. McRaven ambaye ni kamanda wa kitengo maalum kinachosimamia oparesheni maalum zinazofanywa na majeshi yote ya marekani ( Joint Special Operations Command - JSOC) ambapo katika kikao hicho CIA walimpa taarifa wa kila wanachokifahamu kuhusu makazi hayo waliyoyagundua.
Baada ya kupewa taarifa hiyo, Admiral McRaven akapendekeza kuwa wanaweza wakatuma kikosi cha makomando kufanya uvamizi kwenye jumba hilo lakini akawa na wasiwasi inaweza kuleta mushkeli na jeshi la Pakistan ambalo lipo kilomita moja na nusu tu kutoka makazi ya siri ya Bin Laden.
Baada ya majadiliano ya kina Admiral McRaven akawaagiza maafisa kadhaa kutoka Jeshi la Wanamaji (U.S. NAVY) kitengo cha Maandalizi ya ya Mapigano/vita Maalum ( Special Warfare Development Group - DEVGRU) kwamba waweke ofisi ya muda makao makuu ya CIA Langley na washirikiano kuandaa mpango maalumu utaoenda kupendekezwa kwa Rais juu ya kushugjulikia makazi yaliyoaminika kumficha Osama Bin Laden.
Baada ya miezi miwili ambayo DEVGRU waliitumia kuaandaa mpango kwa kushirikiana na CIA hatimaye wakawasilisha mapendekezo yao kwa Mkurugenzi wa CIA Bw. Pattena na kwa waziri wa ulinzi Bw. Robert Gates.
Kisha Rais Obama akaitisha kikao maalum cha Baraza/kamati ya usalama ya Taifa ili kujadili suala hilo.
Baada ya majadiliano marefu kwenye kikao hicho ilionekana kuwa Rais Obama alipendelea zaidi pendekezo la kulipua makazi hayo kwa bomu kutoka angani. Lakini maswali yakaibuka je ni vipi kama kuna handaki kwenye jumba hilo na Osama labda huwa anakaa chini ya hilo handaki. Katika upelelezi wao wote CIA hawakuweza kung'amua kama kulikuwa na handaki katika jumba hilo ama la.
Kwa kuzingatia hivyo basi (uwepo wa handaki) kama wataamua kulipua makazi hayo kwa bomu basi itawabidi watumie bomu lenye uzito usiopungua Kg. 910 ili liweze kusambaratisha kabisa makazi hayo pamoja na handaki kama lipo.
Lakini pendekezo hili nalo likawa na changamoto zake kwani kama litatumika bomu lenye nguvu kubwa hivyo, kulikuwa na nyumba kadhaa za majirani ambazo zitakuwa ndani ya kipenyo cha mlipuko (blast radius). Pia kama makazi hayo yangelipuliwa kwa bomu kusingekuwa na ushahidi wowote wa kujiridhisha kuwa Osama ameuawa kwenye shambulio hilo.
Baada ya kubainishwa kwa changamoto hizi katika kikao kilichofuata cha kamati ya Usalama wa Taifa, Obama akasitisha mpango huo wa kulipua makazi kwa bomu usitekelezwe.
Chaguo la pili lilikuwa kwa makomando wa kikosi cha Wanamaji (Navy) SEALs, wavamie makazi hayo kwa kutumia helikopta maalum zinazoruka bila kutoa kelele na sio rahisi kuonekana na Rada ya adui. Chaguo hili lilikuwa ni zuri lakini lilikuwa na changamoto moja kubwa. Kumbuka makazi haya yapo karibu kabisa na kituo cha Kijeshi cha Pakistani, itakuwaje kama wakishtukiwa kabla hawajamaliza kutekeleza oparesheni?
Baadhi ya watu waliokuwepo kwenye kikao akiwemo waziri wa ulinzi Bwa. Robert Gates akapendekeza kuwa labda wawashirikishe watu wa kitengo maalumu cha ushushushu cha Pakistan (ISI). Wazo hili likapingwa vikali na Rais Obama kuwa hawaamini hata chembe Wapakistani na endapo wakiwaeleza kuhusu oparesheni hiyo basi siku hiyo hiyo Osama ataamishiwa sehemu nyingine.
Obama akapendekeza kuwa kama ikitokea makomando wao wamekamatwa kabla hawajamaliza oparesheni yao basi Admiral McRaven atatakiwa ajiandae kumpigia simu Mkuu wa Majeshi Pakistani Ashfaq Parvez Kayani kumshawishi kuwaachia makomando hao wa Marekani.
Lakini pia Obama akamuagiza Admiral McRaven awaandae makomando wake kwa mapambano ya kijeshi kama ikitokea wamepewa upinzani na wanajeshi wa Pakistan na hawataki kuwaruhusu waondoke.
Watu wote waliohudhuria kiako hicho cha kamati ya usalama wakakubaliana na mpango huo wa kuvamia makazi ya Bin Laden kwa kutumia helikopta isipokuwa Makamu wa Rais Joe Biden pekee aliupinga mpanga huo kwa asilimia zote.
Licha ya Makamu wa Rais kuupinga mpango huo, siku ya tarehe 19 April kamati ya Usalama wa Taifa ilipokutana tena Rais Obama akatoa idhini ya awali kukubali oparesheni hiyo itekelezwe. Na ikapewa jina Oparesheni Neptune Spear.
Kesho yake McRaven pamoja na kikosi chake cha SEALs wakaondoka marekani kuelekea Afghanistan ambapo walitumia takribani wiki mbili kufanya mazoezi kuhusu oparesheni waliyoenda kuifanya.
Kikosi hiki kilifikia katika kambi ya Bagram nchini Afghanistan na hapo palitengenezwa mfano wa nyumba kama ile inayosadikiwa kumuhifadhi bin laden na kikosi cha SEALs wakafanya wazoezi ya kutosha jinsi watakavyotekeleza zoezi hilo.
Ilipowadia siku ya tarehe 29, Rais Obama alimpigia simu Kamanda McRaven kumuuliza juu ya maendeleo ya maandalizi. Pia akamuuliza kama alikuwa na angalau ya chembe ya shaka kuhusu kufanikiwa kwa oparesheni hiyo na kama alikuwa na shaka yoyote basi oparesheni hiyo itahairishwa. McRaven akamjibu kuwa vijana wake wako tayari kwa kutekeleza Oparesheni.
Obama akawapa idhini ya mwisho kuwa amewaruhusu kufanya oparesheni hiyo siku itakayofuata yaani tarehe 30 April.
Kesho yake Obama akataarifiwa kuwa oparesheni imehairishwa kwa muda wa siku moja kutokana na hali ya hewa kutokuwa rafiki na badala yake itafanyika kesho yake tarehe 1.
Jioni ya siku hiyo Obama akampigia simu tena McRaven kumtakia kilala kheri yeye na makomando wake wa SEALs na akwashukuru kwa kujitoa kwao kwa ajili ya Taifa lao.
Siku ya tarehe 1 May ilipowadia wajumbe wa kamati ya usalama wa taifa walikusanyika katika chumba maalumu cha ikulu ya marekani (situation room) kufuatilia oparesheni hiyo kupitia kwenye runinga iliyokuwa inaonyesha picha za moja kwa moja zilizokuwa zinachukuliwa ndege ya kujiendesha (drone) iliyokuwa inafuatilia tukio zima la oparesheni hiyo.
Usiku wa manane Makomando wa SEALs wapatao 79 waliruka na helikopta za kijeshi kutokea kambi ya kijeshi ya Bagram mpaka eneo la mpakani Jalalabad. Walipofika hapo wakagawana. Makomando wapatao 24 pamoja na mbwa aina ya Belgia Malinois aliyeitwa Cairo waliingia kwenye helikopta mbili aina ya Black Hawk ambazo zimeboreshwa kuzuia kuonekana na Rada ya adui na kutotoa sauti.
Makomando waliosalia waliingia kwenye chopa kubwa za kijeshi aina ya Chinook.
Makomando ambao walipanda kwenye chopa za kivita aina ya Black Hawk hawa ndio walipewa jukumu la kuvamia makazi ya Bin Laden. Makomando wengine ambao walipanda kwenye chopa kubwa za kivita aina ya Chinook hawa watakaa maili kadhaa kutoka eneo la tukio kama tahadhali ikitokea wenzao wakahitaji msaada zaidi.
Baada ya kujigawanya hivi safari ya kuelekea kwenye makazi ya siri ya Bin Laden ikaanza.
Baada ya kuyafikia makazi ya Bin Laden Chopa moja ilitua eneo la mbele ya jengo na nyingine ilitua nyuma kwa juu na makomando wakashuka kwa spidi ya haraka kwa kutumia kamba.
Chopa ambayo ilitua mbele ya jengo, rubani aliiweka chini kwa makosa kidogo na kusababisha mkia wa helikopta kugonga uzio wa ukuta wa nyumba na almanusuura ipinduke chini juu lakini kwa ustadi akaiweka sawa na makomando wakashuka salama ingawa helikopta tayari ilikuwa imeharibika.
Baada ya makomando wote kufanikiwa kuingia ndani ya uzio wakaanza kuisogelea mlango mkubwa wa nyumba. Pembeni ya nyumba kubwa kulikuwa na vyumba vichache vimejengwa kwa ajili ya wageni na ndani yake walitokea wanaume wawili waliokuwa na bunduki aina ya AK-47 na kuwafyatulia risasi makomando wa SEALs.
Kabla watu hao hawajaleta madhara yoyote makonmando wa SEALs waliwadondosha chini kwa risasi mbili kila mmoja. Watu hawa wawili walikuja kutambulika baadae kuwa ni Abu Ahmed al-Kuwait pamoja na kaka yake aliyeitwa Abrar.
Kisha makomando wakaingia ndani ya nyumba. Na baada ya kuingia ndani kuna kijana akaonekana akikimbia kupandisha ngazi kwenda ghorofa ya juu. Naye akadondoshwa chini kwa risasi. Kijana huyu naye alikuja kutambulika kama mtoto mkubwa wa kiume wa Osama Bin Laden.
Baada ya kijana huyo kupigwa risasi mlango wa chumba kilichopo ghorofa ya juu ulionekana kufunguliwa na mtu akachungulia. Pia naye akafyatuliwa risasi kadhaa zikamkosa lakini moja ikampata ubavuni. Mtu huyo aligeuka haraka na kurudi ndani chumbani lakini kabla hajaufunga mlango wa chumba vizuri komando wa SEALs alifanikiwa kuruka na kubiringika mpaka ndani ya chumba hicho.
Katika kujitahidi kujificha mtu huyo (Bin Laden) alimnyakua mwanamke mmoja aliyekuwepo humo chumbani (mkewe Mdogo) na kumsukumia kwa komando wa SEALs lakini komando alifanikiwa kumkwepa mwanamke huyo na akafanikiwa kufyatua risasi iliyompata Osama kwenye paji la uso.
Papo hapo komando mwingine naye alikuwa ameshaingia chumbani naye akafyatua risasi iliyompata Osama kifuani. Bin laden akadondoka chini na komando mmoja akamfyatulia risasi nyingine kifuani akiwa hapo hapo chini. Pale pale roho ya Osama Bin Laden ikaach mwili.
Komando mmoja akatoa simu ya mawimbi ya kijeshi na kuwasiliana na kamanda McRaven aliyekuwa amebaki kwenye kambi ya Bagram. Baada ya kupokea tu simu komando akamueleza kamanda wake kwa kifupi tu "Geranimo".
Kamanda wake nae akaitafsiri taarifa hii kwa watu waliopo Ikulu marekani pamoja na Rais Obama wakifuatilia Kupitia Satelaiti, kamanda McRaven akawaeleza "For God and for the country, Geranimo Geranimo Geranimo" kisha akamalizia "Geranimo EKIA" (EKIA - Enemy Killed In Action (Aduai ameuawa kwenye mapambano)). Geranimo ndio lilikuwa jina la fumbo (code name) la kumtambua Osama Bin Laden katika oparesheni hii.
Seneta Hillary Clinton kipindi akiwa kama waziri wa mambo ya nje wa Marekani naye siku alikuwepo Ikulu ndani ya situation room anaeleza kuwa mara baada ya Rais Obama kusikia taarifa hii kwa msisimko na hisia kubwa akaongea maneno machache tu, "we got him" ("tumempata/tumemmaliza").
Baada ya kutoa taarifa hiyo kuwa wamefanikiwa kumuua Bin Laden, makomndo wa SEALs wakawakusanya wanawake na watoto wote waliowakuta ndani ya nyumba hiyo na eakawafunga kwa pingu za plastiki na kuwaacha hapo hapo. Kisha wakaubeba mwili wa Bin Laden na kuupakia kwenye Chopa.
Lakini kabla ya kuondoka wakailipua ile chopa iliyopata itilafu kwani isingeweza kuruka tena na hawakutaka watu wajue teknolojia yao ya siri inayotumika kwenye chopa hizo.
Zoezi lote hili lilipangwa kutumia dakika 40, lakini kutoka na umahiri wa hali ya juu wa makomando wa SEALs liliisha ndani ya dakika 30 pekee. Risasi 16 tu ndizo zilifyatuliwa na watu 5 waliuwawa (Osama, mtoto wake wa kiume, Abu Ahmed al-Kuwait, Abrar (kaka wa al-kuwait), na mke wa Abrar).
Baadaya ya hapo wakaruka mpaka kambi ya Bagram kisha mwili wa Bin laden ukapakiwa tena kwenye chopa na kupelekwa kwenye manowari ya kivita ya NAVY iliyoko baharini. Huko sampuli za DNA zikachukuliwa na mwili ukapigwa picha. Baada ya hapo mwili ukavilingishwa shuka jeupe alafu ukatumbukizwa kwenye mfuko mkubwa na imara, vikawekwa na vyuma vizito ndani yake, mfuko ukafungwa, ukatumbukizwa baharini. Huo ukawa mwisho wa Bin laden Duniani.

HOTUBA YA UTHIBITISHO
Jioni ya siku hiyo Rais wa marekani Barack Obama alitoa hotuba ambayo itakumbukwa kwa vizazi vingi vijavyo. Alisema;
"Habari za jioni, usiku huu napenda kuwataarifu Wamarekani na Ulimwengu wote kuwa Marekani imeendesha oparesheni iliyofanikiwa kumuua Osama Bin Laden kiongozi wa Al Qaeda na Gaidi anayehusika na vifo vya maelfu ya wanaume, wanawake na watoto wasio na hatia......"
Ulimwengu ulisimama kwa sekunde kadhaa na wengine hawakuamini masikio yao na mpaka sasa wapo wasio amini na kumeibuka nadharia nyingi mno. Lakini hiki nilichokisimulia ndicho wanachoamini CIA na serikali ya Marekani, kuwa siku ya Tarehe 1 mwezi May mwaka 2011; "Geranimo E.K.I.A..... Adui aliuwawa katika mapambano.

KUKUA KWA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO


KUKUA KWA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO


Kukua kwa teknolojia ya habari na mawasiliano (Tehama) si tu kumerahisisha upatikanaji wa taarifa, bali pia kumechangia kwa kiasi kikubwa kukua kwa demokrasia na uhuru wa maoni duniani kote. Maendeleo hayo Facebook yanayohusisha kuibuka kwa mitandao ya kijamii kama vile, Twitter, Instagram, WhatsApp na mingineyo. Mbalio na uhuru wa maoni, kumesaidia kukuza biashara, elimu huku kwa upande mwingine pia yakiathiri tamaduni mbalimbali. Maendeleo ya Tehama yamepiku utamaduni uliokuwa umezoelekea katika mawasiliano kama vile uandishi wa barua, magazeti, machapisho, badala yake sasa watu wanatumia simu za mkononi na kompyuta kupata taarifa kwa wepesi zaidi.

Licha ya maendeleo mengine, hili na ukuaji wa uhuru wa maoni na demokrasia limeonekana tishio kwa baadhi ya viongozi duniani na katika baadhi ya nchi Serikali katika nyakati fulani zimeamua kufungia mitandao ya intaneti ili kupunguza kasi ya mawasiliano.

Zimbabwe

Hivi karibuni, Serikali ya Zimbabwe ililazimika kufunga intaneti baada ya kutokea maandamano makubwa ya kupinga ongezeko la bei ya mafuta lililotangazwa na Rais Emerson Mnangagwa.

Mbali na hatua hiyo, zaidi ya watu 400 akiwamo Mchungaji Evan Mawarire aliyekuwa mpinzani mkubwa wa Rais mstaafu Robert Mugabe wamekamatwa kutokana na maandamano hayo.

DR Congo

Kufungwa kwa mawasiliano ya intaneti pia kumetokea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ambapo siku moja baada ya uchaguzi iliompa ushindi Felix Tshsekedi.

Miji iliyoathiriwa na ufungaji huo ni pamoja na mji mkuu wa Kinshasa na miji ya Goma na Lubumbashi.

Kampuni za huduma za intaneti duniani ilituma ujumbe kwa wateja wake kwamba serikali imeamuru kufungwa kwa huduma hiyo, hata hivyo waziri wa mawasiliano nchini humo, Emery Okundji alisema hajui kuhusu hali hiyo.

Hatua hiyo ililaaniwa na kundi la kampeni la mgombea wa upinzani, Martin Fayulu likiishutumu serikali kwa kuamuru kufungwa kwa mtandao ili kusitisha matangazo ya ushindi mkubwa wa mgombea wake.

Licha ya ushindi wa Tshisekedi kupingwa na mpinzani wake wa karibu, Martin Fayulu, Mahakama ya Katiba ya nchi imethibitisha matokeo hayo.

Marekani

Pamoja na Marekani kuonekana kama kinara wa demokrasia duniani, nako kuna ugomvi usioisha kati ya viongozi wa siasa na mitandao ya jamii.

Rais Donald Trump anayeonekana kukosa uvumilivu wa kukosolewa, ameishambulia mitandao ya kijamii ya Google, Facebook na Twitter akisema ina upendeleo ingawa hajafikia hatua ya kuifunga.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter, hivi karibuni Trump ameilaumu mitandao hiyo akisema inapendelea Chama cha Democratic huku ikiwafungia akaunti zao wanachama wa Republican, akisema serikali itafuatilia jambo hilo la kibaguzi.

Tanzania

Kama ilivyo kwa Trump, Rais John Magufuli ameshaeleza kukerwa kwake na mitandao ya jamii kwa nyakati tofauti.

Akihutubia wakati wa kupokea ndege mbili aina ya Bombardier katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere Dar es Salaam Septemba 28, 2016, Rais Magufuli alisema anatamani malaika washuke kuifungia mitandao hiyo.

“Mtu mwingine anasema ndege hizo tumezinunua kila ndege dola 61 milioni, wakati mimi najua ndege hii haikufika hata nusu ya hizo hela tulizonunua. Ana-post pale anaandika uongo. Halafu hata akishajua ukweli wake baadaye wala hatubu,” alisema Rais Magufuli.

Aliongeza, “Nilikuwa natamani siku moja malaika washuke waizime hii mitandao yote, ili baada ya mwaka mzima itakapokuja kufunguka wakute sisi tumeshaitengeneza Tanzania yetu mpya,” alisema.

Mbali na hatua hiyo, tayari hatua kadhaa zimechukuliwa ikiwa pamoja na kutungwa kwa sheria ya makosa ya mitandao ya mwaka 2015. Kupitia sheria hiyo, watu mbalimbali wameshitakiwa kutokana na maandishi waliyotuma kwenye mitandao kinyume na sheria hiyo.

Miongoni mwa waathirika ni mtandao wa Jamii Forums uliofikishwa Mahakamani ukidaiwa kukiuka sheria hiyo na kesi bado inaendelea.

Akitoa maoni yake hivi karibuni, Meneja wa Programu wa Baraza la habari Tanzania (MCT), Pili Mtambalike anaiona sheria hiyo kuwa moja ya sheria kandamizi zinazokwaza uhuru wa kujieleza na demokrasia nchini.

“Sheria ya makosa ya Mtandao (Cyber Crimes Act, 2015) imekuwa ikitumika kunyamazisha mawazo mbadala na kuadhibu wanaokosoa serikali,” anasema.

Anaendelea kufafanua kuwa, hata kanuni za maudhui ya mtandao zimekuwa kikwazo kikubwa kwa haki ya kujieleza na kupata taarifa na kwamba zimerudisha nyuma kwa kasi sana uhuru wa kujieleza na upanukaji wa matumizi ya mtandaoni.

“Kumewekwa masharti magumu ya kufungua na kuendesha blogs ikiwa ni pamoja na malipo makubwa, vitisho vya faini kubwa na vifungo virefu,” anafafanua.

Akizungumzia nguvu ya mitandao, Mkurugenzi mtendaji wa Jamii Forums, Maxence Melo anasema mitandao inazidi kukua duniani kote. “Ukuaji huu unawafanya wananchi wengi kuendelea kupata taarifa na habari mbalimbali hivyo kujikuta wakifunguka na kujua mambo mengi ambayo hawakuwa wakiyajua awali,” alisema Melo.

Anaongeza, “Endapo mamlaka (authorities) zitaendelea kupuuza au kukazana na kutunga sheria tu za kubana matumizi ya mitandao tutajikuta tunaendelea kuwa nyuma ya mataifa mengine.”

“Huwezi puuza kundi la watu zaidi ya milioni 25 ya Watanzania wanaotumia mitandao. Mitandao ingawa inakuwa na taarifa zaidi ya habari, endapo habari hizo zitasambaa bila kutolewa ufafanuzi wananchi wataiamini na athari yake ni kubwa,” alisema.

Hivi karibuni Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Mtwara ilitupilia mbali shauri la kupinga matumizi ya kanuni za maudhui ya kimtandao.

Kesi hiyo namba 25 ya mwaka 2018 ilifunguliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT), Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Muungano wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu wote kwa pamoja walikuwa wanapinga kanuni za maudhui ya kimtandao.

    

 

 


Tuesday, January 22, 2019

KANISA LA KATOLIKI NI SERIKALI ILIYOKAMILIKA


MAREKANI NDIO KIRANJA WA DEMOKRASIA DUNIANI
KANISA  LA KATOLIKI NI SERIKALI ILIYOKAMILIKA 

Mfumo huu wa kiungozi/kiutawala ndio mfumo unaotumika na mataifa mengi hivi sasa,ni mwaka wa 500 sasa tangu kuasisiwa kwake,ni mfumo umejikita na kujidhatiti kuliko kawaida.Ukienda kinyume kwa kuupinga basi unaonekana msaliti,hivyo hatua kali zitachukuliwa dhidi yako,nchi yoyote ama taifa lolote lile litakalokwenda kinyume na mfumo huu unaofahamika kama Demokracy basi litatengwa na kuwekewa Vikwazo vya kiuchumi na kidiplomasia kama Zimbabwe,Uganda,Rwanda,Sudani Kaskazini,Venezuela,Congo BlazzaVille,Equotoria Guinea, Korea Kaskazini Iran,Syria Palestina pamoja na Urusi japo natambua kuna Sababu nyingi zinazopelekea taifa husika kuwekewa Vikwazo lakini Sababu kubwa ni Utawala Bora na wenye kufuata Sheria (Rule of Law) na hiyo ni Moja ya Nguzo kuu ya kile kinachoitwa Democracu.


Mfumo huu ulikuwepo hapo mwanzo karne ya 5 uko ugiriki na baadae kuenea maaneo mengine hususani bara la Ulaya karne ya 17-19 ,mfumo huu unatambua Vyama Vingi kwamba mchakato wa kumpata kiongozi lazima kila mtu apate nafasi katika kuhakikisha anachagua kiongozi anayemtakaa na ndio maana kuna vyama vingi.Lazima pia kuwe na Uhuru wa kujieleza baina ya watu ,mfumo huu unahimiza uhuru wa kuabudu kuwe na uhuru wa vyombo vya habari kuwe na uhuru wa kukosoa na kutoa mapendekezo pale Serikali yoyote inapofanya vibaya,kuwe na uhuru pia baina ya Wananchi wa kufanya biashara pamoja na kuendeleza tamaduni baina ya watu husika pasipo kuingiliwa na mtu yoyote yule.Lazima kufuata  utawala wa sheria ,lazima kuwe mgawanyiko wa madaraka ,lazima kuwe na  uchaguzi kila baada miaka 4-5 au wengine miaka 7 hapa namaanisha kuwe na ukomo wa madaraka na miaka hiyo inakuwa imepangwa kulingana na katiba ya nchi husika na lazima utaratibu huo ufuatwe pasipo kuvunjwa.

Mbali na yote hayo huu ndio mfumo unakubalika na wengi kwani unagusa nyanja zote na kila mmoja anatakiwa kushiriki kikamilifu katika suala lolote lile, mfumo huu haubagui kabisa japokuwa unachangamoto nyingi sana katika mataifa yanayoendelea hususani Afrika na mashariki ya kati.Na hili limejitokeza kwenye Chaguzi nyingi sana kuanzia miaka 1960s.Mfumo huu unapinga mtu mmoja kuongoza nchi mwenyewe kwa mda  mrefu pasipo kupisha wengine kuongoza ,mfumo huu unatambua haki ya binadamu na unaamini kwamba watu wote ni sawa (All People Are Equal) lakini piaa unahimiza uwepo wa Bunge ambalo husimama kwa niaba ya wananchi kuhakikisha  sheria inatengenezwa.kusimamia mambo mbali mbali ya yanayofanywa na Serikali na kuhakikisha sheria hazivunjwi na kuhakikisha Serikali inawajibika na kuwajali wananchi wake ipasavyo na chombo kinachohusika kusimamia mambo yote hayo ni mahakama lakini pia mwasisi wa mambo yote haya ni John Lock (Father of Law),lakini mambo haya yalikuja kuasisiwa na kutiliwa mkazi na wakina Thomas Jefferson na James Madson kutoka Marekani.

Viongozi wengi wa Bara la Afrika wanaingia madarakani siyo kwa Sanduku la Kura bali wanaingia Madarakani kwa njia ya Uchochoroni ama kwa kutumia mkono wa Chuma na ndiyo maana Bara la Afrika limekuwa likiongozwa na Viongozi ambao siyo chaguo la Wengi bali ni Chaguo la Wachache hivyo kupelekea mtafaruko mkubwa na mauaji ya kutisha katika Chaguzi Nyingi Barani Afrika.Mfumo huu unahimiza uwepo wa Mahakama kwa ajili kusimamia sheria na yoyote avunjae basi kuchukuliwa hatua za kisheria maana mfumo huu unadavua wazi kwamba hakuna mtu anapaswaa kuwa juu ya sheria,watu wote kwa asili walizaliwa sawa.Mfumo huu hutambua uwepo wa katiba maana  hii ndio hubeba maana nzima ya nchi, katiba ndio hubeba hatima ya wanachi.Wananchi wanapewa nguvu kubwa ya kuadhibu Serikali endapo itafanya vibaya au itaenda kinyume na katiba.katika mfumo huu Serikali ina jukumu la kutoa huduma za kibinadamu pasipo kubaguaa dini ,ukabila ama rangi ya mtu mmoja mmoja. 

Mfumo ndio unaitwa DEMOCRACY ni mfumo ambao ulianzishwa na kutiliwa mkazo sana na John Lock,huyu ambaye ndio Baba wa katiba na  ndio mwaasisi wa Bunge,lakini amehusika pakubwa kwenye Upande wa Sheria ambazo zinatumika leo katika mataifa mbalimbali kwa sasa.Japokuwa walikuwepo wengine kama wakina Jean Jacques na Voltire na Montesque kutoka ufaransa, wanamchango mkubwa katika maendeleo ya Democracy kote.Lakini lazima tutambue mchango mkubwa wa Rais wa tatu wa Marekani Thomas Jefferson na wengine walishiriki kikamilifu katika kutengeneza katiba ya Marekani kama James Madison na Georg Washington pia mchango mkubwa wa Abraham Lincoln ambaye alitoa ufafanuzi mkubwa juu ya Maana ya Democracy.

Kiranja na msimamizi mkuu wa kile kinachoitwa Democracy ni  MAREKANI,taifa hili la Marekani ndiyo limeonekana kuwa mfano Bora katika kufuata nguzo muhimu za Kile kinachoitwa Democracy japo wanachangamoto zao ila wanaonekana kubaki kileleni kama taifa la Kidemokrasia Duniani.UFARANSA,UINGEREZA pamoja na Umoja wa kimataifa UN (Unite Nations 1945) na jumuia zingine kama umoja wa Ulaya (United Kingdom) pia wamekuwa Viranja wa mda mrefu sana wa Demokrasia, wanasimama kama Viranja wakuu.Lakini zaidi ya hapo hawataki kusikiaa mtu anaupinga huu mfumo amaa kuuvunja kwa makusudi,endapo utaenda kinyume utakuwa unatafuta matatizo makubwa kutoka kwa mabeberu na watakuita Dectator yaani kiongozi usiyefaa maana "When the Mission is Completed The Dog Must Die " na huo ndio utaratibu wao ukienda tufauti utakula nyasi ama ukubali kuishi kama mtumwa katika taifa lako mwenyewe nje  ya hapo ukubali kutekeleza matakwa yao.

Mfumo huu unaitwa Democracy umegharimu maisha ya  viongozi wengi na raia wao maana mtu yoyote aliyepinga mfumo huu hakupona hakika, kuna ambao walipinduliwa na kuna ambao walichapwa risasi,mfano mzuri ni kipindi mfumo huu unaasisiwa kwa kile kilichojulikana kama The rise of Democracy,ambapo taifa la kwanza kuanza kutumia mfumu huu lilikuwa ni Uingereza,kuanzia karne ya 15-17 na kuendelea.Mapinduzi ya kwanza yalijikita katika kumuondoa mfalme Charls I na ilikuwa mwaka 1946/7 katika mapinduzi yaliyojulikana kama Porutant Revolution.Mageuzi haya ya Democracy hayakuishia hapo tu bali yalianza kuenea na baadae Ufaransa ambapo yalijikita katika kumpindua mfalme Luois XVI mwaka 1789 mpaka mwaka 1795 na mwaka 1799.

Hata hivyo katika maeneo mengi Barani Ulaya bado mfumo huu ulionekana mchanga sana hivyo mageuzi yaliendelea katika mataifa madogomadogo katika kile kilichojulikana kama 1848 Revolution ambao yalikuwa ni mapunduzi ya kuondoa mfumo wa kifalme (Autocratic/Despotic Rule) na kuingiza Uongozi unaofuata Sheria yaani kwa sasa unafahamika kama Democracy,mataifa ya Ulaya yalifuta mfumo wa kizamani ambao viongozi waliongoza wanavyotaka wao na wengine waligeuza nchi kama mali ya familia kama ilivyokuwa Ufaransa,Uingereza Chini ya Tudoro Monarchy Family,Italy chini ya Victor Emmanuel,Ujerumany ilikuwa Chini ya mfalme William I-III,Ukienda Austria Hungary ambao walikuwa chini ya Prince Mattenichy pamoja na maeneo mengine lakini vuguvugu la Mabadiliko lilipoanza hakuna mfalme alisalia madarakani waliondolewa wote na kuanzia hapo ukawa ndiyo mwanzo wa kuja kwa mfumo unaoitwa Democracy.

Huu ndio mfumo unatumika kwa sasa na Kiranja mkuu ama msimamizi mkuu ni Marekani na Marekani wao walianzisha mfumo huu baada ya kujipatia Uhuru wao mwaka 1776 Chini ya George Washinton kama Rais wa Kwanza akisaidiwa na Thomas Jeffeson, ambaye ndiyo aliyeandika katiba ya Marekani uku wakisaidiana na wahusika wengine kama James Madson.Katiba hiyo ndiyo imekuwa chachu kuu katika maendeleo ya Democracy ulimwenguni Kote,na Marekani ameanza kusambaza na kueneza itakadi hii baada ya kuwa taifa kubwa la kibepari na lenye nguvu Duniani. Kuanzia mwaka 1920s mpaka hivi leo Marekani ndiyo taifa kibwa na lenye nguvu kuliko yote Duniani.Alianza kusambaza falsafa hii kwa nguvu,kwa damu na jasho hususani kuanzia mwaka 1940s hapo kasi iliongezeka baada ya kuibuka na kupamba moto kwa Ujamaa Duniani.Na mpaka mwaka 1945-1980s walikuja na Sera mbalimbali ikiwemo ile ya Open Door Policy (Doing Busness With Afrikans) na Mashall Plan Policy ambapo zilikuwa zinatumika kusapoti na kusambaza misaada mbalimbali katika kuahakikisha ubepari unashika hatamu Duniani kote iwe kwa Mungu ama kwa Shetani.

Hata hivyo Marekani na yeye huyupo pekee yake Mataifa ya Ulaya pia yanafanya kazi hiyo hiyo ya kuhakikisha kwamba mfumo huu wa Democracy unalindwa na kupewa heshima yake japo pia wamekuwa wakitumia mgongo wa Democracy katika kuchota malighafi za Mataifa Masikini na hapa wanakamilisha ule msemo wa Darwinism Theory kwamba "Only The Strong Will Survive and The Weaker Will Die/Will Never Survive.Mbali na kwamba tunatambua kwamba mataifa haya ya mslahi katika mataifa ya Afrika ila pia ndiyo wamekuwa wafadhili wakubwa wa mambo mbalimbali katika mataifa Masikini,wao ndiyo wanaosimamia miradi mbalimbali na hawa ndiyo wanaofadhiri bajeti za mataifa ya Afrika na hawa ndiyo wameshika mpini yaani wameshikiria kila kitu,teknolojia yakwao,Wawekezaji wao,Bank ya Dunia yao,Soko la Dunia wanapanga wao,Silaha hatari za kivita wanapanga wao hivyo ndiyo maana wanayo sauti ya kumfokoea mwafrika wanavyotaka wao pale wanapoona maslahi yao yanaingiliwa,ndio maana unaona wana uwezo wa kuingilia katika mambo mbalimbali Duniani Kote.

Na hili liko wazi kwamba hata pale unapotaka misaada kutoka sharti ufuate matakwa yao lakini ni pamoja na kuheshimu utawala bora na Sheria lakini pia kuheshimu na kulinda Demokrasia na nje ya hapo basi hutakuwa na Vigezo vya kupata misaada ama kitu chochote unachokitaka kutoka kwao na hapa ndipo unapokuja ule msemo wa kwamba BOSI HUWA HANUNIWI.Wanauwezo hata wa kukuzuia usisafiri ama usiende popote pale kama tu hutashindwa kufuata na kuheshimu misingi ya Demokrasia hii imeoneka katika mataifa mengi sanaa ikiwemo Zimbabwe amba wameishi katika Vikwazo kwa mda wa miaka 18 sasa.Lakini pia Umoja wa Ulaya hauko nyuma katika hili maana Marekani na Uingereza  ni kama Baba na mtoto wake,chochote anachokifanya Marekani Uingereza hana nguvu za kupinga hata kama jambo lenyewe ni baya kiasi gani.Hivyo mataifa yote yanayosimamiwa au yaliyotawaliwa na Mwingereza na haya ndiyo mengi zaidi hayana budi kufuata na mfumo huu wa Kidemokrasia ambao umeonekana kuwa kikwazo Barani Afrika.

Bi maana popote pale unapofanyika Uchaguzi hu lazima kuwe na wasimamizi ama waangalizi wa Umoja wa Kimataifa kutoka Bara la Ulaya (UK) kutoka UN na katika jumuia mbalimbali ikiwemo umoja wa Afrika (Afrikan Union),lazima kuwe na wasimamizi kutoka SADC na lengo kuu ni kutafuta taarifa na kuangalia je Uchaguzi ulifanyika katika kweli na hakii au kuna uhuni umetendeka na kinyume na hapo hawatakubaliana na matokeo ndiyo maana leo unaona Ufaransa anapinga  matokeo ya Congo yaliotangazwa na tume ya taifa CENI mnamo tarehe 09/1/2019 nchini humo maana wanaamini kwamba Martin Fayulu ndiyo mshindi na Siyo Filex Tsheseked,ndio maana Unaona Marekani tarehe 11/1/2019 wameomba maelezo ya kile kilichotokea Congo ili kujihakikishia kama Ulifanyika katika Ukweli na haki,Unaweza ukaona kama wanaingilia mambo ya Afrika lakini Ukweli ni kwamba wao Ndiyo Viranja wa Demokrasia Dunuani kote na wao ndiyo Wafadhili wa mambo mbaimbali Duniani Kote yaani Marekani ni kama maji Usipokunywa Utayaogaa,Usipo yaoga Utafulia.

Mataifa mengine yanapinga vilevile kile kinachoendelea Congo na hii ni kwa Sababu wanaona bado kivuli na Joseph Kabila bado kipo Congo,mataifa makubwa watataka kuona unarudiwa kwa namna moja ama nyingine.Mbali na hivyo Marekani na washirika wake wameweka ma-Agent Duniani kote lengo kuu ni katika kuangalia kwamba mfumo huu unalindwa,na mfano mzuri ni CIA na FBI wamekuwa wakishirikiana katika kulinda mslai yao kwa namna moja ama nyingine.Ndio maana kumkwepa Mmarekani ni ngumu sana katika Ulimwengu wa kibepari.Marekani pia amekuwa pia ni Peace Keeper kwa Upande fulani lakini pia  Conflicts Maker mzuri sana pale anapoona malengo yake hayajatimia.Marekani yupo Afrika nzima hii,amekuwa akilaumiwa katika mambo mbalimbali lakini pia amekuwa akisaidia katika kuondoa Uongozi wa kimabavu katka maeneo tofauti tofauti na katika kusaidia maendeleo hususani katika mataifa masikini ila mbali na yote hayo mataifa ya Kibepari hayafanyi kazi bure wanakwambia "NO FREE LUNCH UNDER THE SUN".

Hivyo basi mataifa yote yenye kufuata mfumo wa Democracy hawanabudi kuheshimu na kufuata misingi yake kwenda kinyume na hapo basi kifo au uwe unajiweza kiuchumi ,kiteknolojia na kijeshi nje na hapo huna bahati maana Kiranja mkubwa wa mfumo huu ni Marekani ambaye ametega mashushu duniani kote ambao wametumwa kwa kazi mahususi ,taifa lolote lile la ambalo linatumia mfumo huu basi lazima watambue kwamba wapo nchini ya ungalizi wa marekani kufeli kufanya ivoo basi hatua kali zitachukuliwa na ni pamoja na kukuwekea vikwazo vya kiuchumi na kukutengenezea propaganda ili uonekane mbaya ili wakupige kirahiisi Marekani yupo kwa ajili ya kulinda democracy na Maslahi yake popote pale duniani .



Mbali na yote hayo huu ndio mfumo unakubalika na wengi kwani unagusa nyanja zote na kila mmoja anatakiwa kushiriki kikamilifu katika suala lolote lile, mfumo huu haubagui kabisa japokuwa unachangamoto nyingi sana katika mataifa yanayoendelea hususani Afrika na mashariki ya kati.Na hili limejitokeza kwenye Chaguzi nyingi sana kuanzia miaka 1960s.Mfumo huu unapinga mtu mmoja kuongoza nchi mwenyewe kwa mda  mrefu pasipo kupisha wengine kuongoza ,mfumo huu unatambua haki ya binadamu na unaamini kwamba watu wote ni sawa (All People Are Equal) lakini piaa unahimiza uwepo wa Bunge ambalo husimama kwa niaba ya wananchi kuhakikisha  sheria inatengenezwa.kusimamia mambo mbali mbali ya yanayofanywa na Serikali na kuhakikisha sheria hazivunjwi na kuhakikisha Serikali inawajibika na kuwajali wananchi wake ipasavyo na chombo kinachohusika kusimamia mambo yote hayo ni mahakama lakini pia mwasisi wa mambo yote haya ni John Lock (Father of Law),lakini mambo haya yalikuja kuasisiwa na kutiliwa mkazi na wakina Thomas Jefferson na James Madson kutoka Marekani.



Viongozi wengi wa Bara la Afrika wanaingia madarakani siyo kwa Sanduku la Kura bali wanaingia Madarakani kwa njia ya Uchochoroni ama kwa kutumia mkono wa Chuma na ndiyo maana Bara la Afrika limekuwa likiongozwa na Viongozi ambao siyo chaguo la Wengi bali ni Chaguo la Wachache hivyo kupelekea mtafaruko mkubwa na mauaji ya kutisha katika Chaguzi Nyingi Barani Afrika.Mfumo huu unahimiza uwepo wa Mahakama kwa ajili kusimamia sheria na yoyote avunjae basi kuchukuliwa hatua za kisheria maana mfumo huu unadavua wazi kwamba hakuna mtu anapaswaa kuwa juu ya sheria,watu wote kwa asili walizaliwa sawa.Mfumo huu hutambua uwepo wa katiba maana  hii ndio hubeba maana nzima ya nchi, katiba ndio hubeba hatima ya wanachi.Wananchi wanapewa nguvu kubwa ya kuadhibu Serikali endapo itafanya vibaya au itaenda kinyume na katiba.katika mfumo huu Serikali ina jukumu la kutoa huduma za kibinadamu pasipo kubaguaa dini ,ukabila ama rangi ya mtu mmoja mmoja. 



Mfumo ndio unaitwa DEMOCRACY ni mfumo ambao ulianzishwa na kutiliwa mkazo sana na John Lock,huyu ambaye ndio Baba wa katiba na  ndio mwaasisi wa Bunge,lakini amehusika pakubwa kwenye Upande wa Sheria ambazo zinatumika leo katika mataifa mbalimbali kwa sasa.Japokuwa walikuwepo wengine kama wakina Jean Jacques na Voltire na Montesque kutoka ufaransa, wanamchango mkubwa katika maendeleo ya Democracy kote.Lakini lazima tutambue mchango mkubwa wa Rais wa tatu wa Marekani Thomas Jefferson na wengine walishiriki kikamilifu katika kutengeneza katiba ya Marekani kama James Madison na Georg Washington pia mchango mkubwa wa Abraham Lincoln ambaye alitoa ufafanuzi mkubwa juu ya Maana ya Democracy.



Kiranja na msimamizi mkuu wa kile kinachoitwa Democracy ni  MAREKANI,taifa hili la Marekani ndiyo limeonekana kuwa mfano Bora katika kufuata nguzo muhimu za Kile kinachoitwa Democracy japo wanachangamoto zao ila wanaonekana kubaki kileleni kama taifa la Kidemokrasia Duniani.UFARANSA,UINGEREZA pamoja na Umoja wa kimataifa UN (Unite Nations 1945) na jumuia zingine kama umoja wa Ulaya (United Kingdom) pia wamekuwa Viranja wa mda mrefu sana wa Demokrasia, wanasimama kama Viranja wakuu.Lakini zaidi ya hapo hawataki kusikiaa mtu anaupinga huu mfumo amaa kuuvunja kwa makusudi,endapo utaenda kinyume utakuwa unatafuta matatizo makubwa kutoka kwa mabeberu na watakuita Dectator yaani kiongozi usiyefaa maana "When the Mission is Completed The Dog Must Die " na huo ndio utaratibu wao ukienda tufauti utakula nyasi ama ukubali kuishi kama mtumwa katika taifa lako mwenyewe nje  ya hapo ukubali kutekeleza matakwa yao.



Mfumo huu unaitwa Democracy umegharimu maisha ya  viongozi wengi na raia wao maana mtu yoyote aliyepinga mfumo huu hakupona hakika, kuna ambao walipinduliwa na kuna ambao walichapwa risasi,mfano mzuri ni kipindi mfumo huu unaasisiwa kwa kile kilichojulikana kama The rise of Democracy,ambapo taifa la kwanza kuanza kutumia mfumu huu lilikuwa ni Uingereza,kuanzia karne ya 15-17 na kuendelea.Mapinduzi ya kwanza yalijikita katika kumuondoa mfalme Charls I na ilikuwa mwaka 1946/7 katika mapinduzi yaliyojulikana kama Porutant Revolution.Mageuzi haya ya Democracy hayakuishia hapo tu bali yalianza kuenea na baadae Ufaransa ambapo yalijikita katika kumpindua mfalme Luois XVI mwaka 1789 mpaka mwaka 1795 na mwaka 1799.


Hata hivyo katika maeneo mengi Barani Ulaya bado mfumo huu ulionekana mchanga sana hivyo mageuzi yaliendelea katika mataifa madogomadogo katika kile kilichojulikana kama 1848 Revolution ambao yalikuwa ni mapunduzi ya kuondoa mfumo wa kifalme (Autocratic/Despotic Rule) na kuingiza Uongozi unaofuata Sheria yaani kwa sasa unafahamika kama Democracy,mataifa ya Ulaya yalifuta mfumo wa kizamani ambao viongozi waliongoza wanavyotaka wao na wengine waligeuza nchi kama mali ya familia kama ilivyokuwa Ufaransa,Uingereza Chini ya Tudoro Monarchy Family,Italy chini ya Victor Emmanuel,Ujerumany ilikuwa Chini ya mfalme William I-III,Ukienda Austria Hungary ambao walikuwa chini ya Prince Mattenichy pamoja na maeneo mengine lakini vuguvugu la Mabadiliko lilipoanza hakuna mfalme alisalia madarakani waliondolewa wote na kuanzia hapo ukawa ndiyo mwanzo wa kuja kwa mfumo unaoitwa Democracy.



Huu ndio mfumo unatumika kwa sasa na Kiranja mkuu ama msimamizi mkuu ni Marekani na Marekani wao walianzisha mfumo huu baada ya kujipatia Uhuru wao mwaka 1776 Chini ya George Washinton kama Rais wa Kwanza akisaidiwa na Thomas Jeffeson, ambaye ndiyo aliyeandika katiba ya Marekani uku wakisaidiana na wahusika wengine kama James Madson.Katiba hiyo ndiyo imekuwa chachu kuu katika maendeleo ya Democracy ulimwenguni Kote,na Marekani ameanza kusambaza na kueneza itakadi hii baada ya kuwa taifa kubwa la kibepari na lenye nguvu Duniani. Kuanzia mwaka 1920s mpaka hivi leo Marekani ndiyo taifa kibwa na lenye nguvu kuliko yote Duniani.Alianza kusambaza falsafa hii kwa nguvu,kwa damu na jasho hususani kuanzia mwaka 1940s hapo kasi iliongezeka baada ya kuibuka na kupamba moto kwa Ujamaa Duniani.Na mpaka mwaka 1945-1980s walikuja na Sera mbalimbali ikiwemo ile ya Open Door Policy (Doing Busness With Afrikans) na Mashall Plan Policy ambapo zilikuwa zinatumika kusapoti na kusambaza misaada mbalimbali katika kuahakikisha ubepari unashika hatamu Duniani kote iwe kwa Mungu ama kwa Shetani.



Hata hivyo Marekani na yeye huyupo pekee yake Mataifa ya Ulaya pia yanafanya kazi hiyo hiyo ya kuhakikisha kwamba mfumo huu wa Democracy unalindwa na kupewa heshima yake japo pia wamekuwa wakitumia mgongo wa Democracy katika kuchota malighafi za Mataifa Masikini na hapa wanakamilisha ule msemo wa Darwinism Theory kwamba "Only The Strong Will Survive and The Weaker Will Die/Will Never Survive.Mbali na kwamba tunatambua kwamba mataifa haya ya mslahi katika mataifa ya Afrika ila pia ndiyo wamekuwa wafadhili wakubwa wa mambo mbalimbali katika mataifa Masikini,wao ndiyo wanaosimamia miradi mbalimbali na hawa ndiyo wanaofadhiri bajeti za mataifa ya Afrika na hawa ndiyo wameshika mpini yaani wameshikiria kila kitu,teknolojia yakwao,Wawekezaji wao,Bank ya Dunia yao,Soko la Dunia wanapanga wao,Silaha hatari za kivita wanapanga wao hivyo ndiyo maana wanayo sauti ya kumfokoea mwafrika wanavyotaka wao pale wanapoona maslahi yao yanaingiliwa,ndio maana unaona wana uwezo wa kuingilia katika mambo mbalimbali Duniani Kote.



Na hili liko wazi kwamba hata pale unapotaka misaada kutoka sharti ufuate matakwa yao lakini ni pamoja na kuheshimu utawala bora na Sheria lakini pia kuheshimu na kulinda Demokrasia na nje ya hapo basi hutakuwa na Vigezo vya kupata misaada ama kitu chochote unachokitaka kutoka kwao na hapa ndipo unapokuja ule msemo wa kwamba BOSI HUWA HANUNIWI.Wanauwezo hata wa kukuzuia usisafiri ama usiende popote pale kama tu hutashindwa kufuata na kuheshimu misingi ya Demokrasia hii imeoneka katika mataifa mengi sanaa ikiwemo Zimbabwe amba wameishi katika Vikwazo kwa mda wa miaka 18 sasa.Lakini pia Umoja wa Ulaya hauko nyuma katika hili maana Marekani na Uingereza  ni kama Baba na mtoto wake,chochote anachokifanya Marekani Uingereza hana nguvu za kupinga hata kama jambo lenyewe ni baya kiasi gani.Hivyo mataifa yote yanayosimamiwa au yaliyotawaliwa na Mwingereza na haya ndiyo mengi zaidi hayana budi kufuata na mfumo huu wa Kidemokrasia ambao umeonekana kuwa kikwazo Barani Afrika.



Bi maana popote pale unapofanyika Uchaguzi hu lazima kuwe na wasimamizi ama waangalizi wa Umoja wa Kimataifa kutoka Bara la Ulaya (UK) kutoka UN na katika jumuia mbalimbali ikiwemo umoja wa Afrika (Afrikan Union),lazima kuwe na wasimamizi kutoka SADC na lengo kuu ni kutafuta taarifa na kuangalia je Uchaguzi ulifanyika katika kweli na hakii au kuna uhuni umetendeka na kinyume na hapo hawatakubaliana na matokeo ndiyo maana leo unaona Ufaransa anapinga  matokeo ya Congo yaliotangazwa na tume ya taifa CENI mnamo tarehe 09/1/2019 nchini humo maana wanaamini kwamba Martin Fayulu ndiyo mshindi na Siyo Filex Tsheseked,ndio maana Unaona Marekani tarehe 11/1/2019 wameomba maelezo ya kile kilichotokea Congo ili kujihakikishia kama Ulifanyika katika Ukweli na haki,Unaweza ukaona kama wanaingilia mambo ya Afrika lakini Ukweli ni kwamba wao Ndiyo Viranja wa Demokrasia Dunuani kote na wao ndiyo Wafadhili wa mambo mbaimbali Duniani Kote yaani Marekani ni kama maji Usipokunywa Utayaogaa,Usipo yaoga Utafulia.



Mataifa mengine yanapinga vilevile kile kinachoendelea Congo na hii ni kwa Sababu wanaona bado kivuli na Joseph Kabila bado kipo Congo,mataifa makubwa watataka kuona unarudiwa kwa namna moja ama nyingine.Mbali na hivyo Marekani na washirika wake wameweka ma-Agent Duniani kote lengo kuu ni katika kuangalia kwamba mfumo huu unalindwa,na mfano mzuri ni CIA na FBI wamekuwa wakishirikiana katika kulinda mslai yao kwa namna moja ama nyingine.Ndio maana kumkwepa Mmarekani ni ngumu sana katika Ulimwengu wa kibepari.Marekani pia amekuwa pia ni Peace Keeper kwa Upande fulani lakini pia  Conflicts Maker mzuri sana pale anapoona malengo yake hayajatimia.Marekani yupo Afrika nzima hii,amekuwa akilaumiwa katika mambo mbalimbali lakini pia amekuwa akisaidia katika kuondoa Uongozi wa kimabavu katka maeneo tofauti tofauti na katika kusaidia maendeleo hususani katika mataifa masikini ila mbali na yote hayo mataifa ya Kibepari hayafanyi kazi bure wanakwambia "NO FREE LUNCH UNDER THE SUN".


Hivyo basi mataifa yote yenye kufuata mfumo wa Democracy hawanabudi kuheshimu na kufuata misingi yake kwenda kinyume na hapo basi kifo au uwe unajiweza kiuchumi ,kiteknolojia na kijeshi nje na hapo huna bahati maana Kiranja mkubwa wa mfumo huu ni Marekani ambaye ametega mashushu duniani kote ambao wametumwa kwa kazi mahususi ,taifa lolote lile la ambalo linatumia mfumo huu basi lazima watambue kwamba wapo nchini ya ungalizi wa marekani kufeli kufanya ivoo basi hatua kali zitachukuliwa na ni pamoja na kukuwekea vikwazo vya kiuchumi na kukutengenezea propaganda ili uonekane mbaya ili wakupige kirahiisi Marekani yupo kwa ajili ya kulinda democracy na Maslahi yake popote pale duniani .

Kanisa la katoliki ni Taasisi imara na iliyokamika sawia, kwanza ni vyema kutambua kwamba kanisa hili ni moja ya Kanisa Kongwe Duniani toka karne ya kwanza katika Dunia ya sasa,Ukongwe wa Kanisa hili umejitanabaisha na kujionyesha kwa mda mrefu sasa.Karne ya 5-15 na kuendeleaa kanisa hili lilikuwa limetawala karibia Bara la Ulaya kwa Ujumla wake,pengine lilikuwa na nguvu kwa wakati huo kuliko sasa au pengine sasa lina nguvu zaidi kuliko zamani maana mambo mengi yamekuwa yakifanyika kwa siri na ufanisi mkubwa mno kuliko ilivyokawaida.Kanisa hili limekuwa likishiriki katika maendeleo mbalimbali Ulimwenguni kote na limekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi pia.

Mbali na kwamba Kanisa hili limekuwa likihusika katika kuwaelimisha na kuwalea watu kiroho na kuwalea kimaadili pia, lakini Kanisa hili limekuwa chachu ya kuzalisha Viongozi mbalimbali Duniani kote,limekuwa chachu ya kutatua na kuzuia migogoro mbalimbali ulimwenguni kote,Kanisa la katoliki haliko nyuma Sana kwenye mambo ya Utawala na katika ulimwengu wa kisiasa,wanaweza wasionekana hadharani moja kwa moja ila wamekuwa na Mchango mkubwa katika mageuzi mbalimbali katika nchi tofauti tofauti Duniani.Hata hivyo Kanisa hili limeonekana kuwa na nguvu, kuwa na mchango mkubwa  katika maeneo mbalmbal Duniani kabla na hata sasa,Imekuwa ni kawaida kwa baadhi ya Viongozi kuwazuia Viongozi wa Dini kutoa mawazo yao juu ya jambo fulani,Wapo wengi wakiona kwamba viongozi wa Dini hawapaswi kuingilia mambo ya Kiserikali wanasahau kwamba Kanisa la Katoliki ni taasisi iliyokamilika na kujitosheleza kila Idara.

Kanisa hili lina mfumo mzima na wanafanya kazi kama Serikali yoyote Duniani,Na ndio maana hata Kiongozi mkuu wa Dini hiyo Pope Francis amekuwa akitembelea nchi mbalimbali Duniani pamoja na kutoa mapendekezo pale inapobidi na kuonya pia pale anapoona kuna tatizo,Sasa unaweza ukajiuliza anapata wapi nguvu na mamlaka ya kukosoa ama kukemea pale anapoona mambo hayaendi sawia,ni kwamba Kanisa la Katoliki ni Taasisi kubwa na iliyokamilika,Kanisa hili limekuwa likifanya hivyo kwa mda mrefu sasa kutoka Karn ya 15 mpaka karne ya 21, bado Kanisa hili limeonekana kuwa na nguvu na Ushawishi mkubwa Duniani kwa Sasa maana limejitengenezea mfumo uliobora na uliokamilika mbali na changamoto mbalimbali ambazo wamekuwa wakipitia changamoto katika kutekeleza Majukumu yao.

Kanisa hili kwa sasa ndiyo kanisa lenye waumini wengi Duniani kuliko dhehebu lingine lolote  Duniani,Kanisa hilo lipo karibia katika kila nchi hapa Duniani,japo linapata upinzani Kutoka Korea Kaskazi ambapo halipo Kabisa japo kuna ambao wanadai linawaumini 800 na hii ni  kulingana na utafiti wa mwaka 2017-2018, japo pia kuna taarifa kwamba hakuna waumini kabisa na hata kama wapo Basi hawataki kufahamika hakika,Lakini piaa lina wafuasi Nchini Nchina ila wamekuwa wakifuatiliwa vikali na maofisa wa Usalama wa taifa hilo ambao hawataki kuona kanisa hilo linafanya shuguli zake Nchini humo,Kwa ujumla ni asilimia 12% ya wakatoliki wote Duniani kulingana na sensa iliyofanywa na Vatican mwaka 2016/17 Hivyoo hii inaonyesha wazi kwamba Kanisa lina idadi ndogo sana ya waumini Barani Asiaa tofauti na maeneo Mengine Duniani kote.

Bado linabaki kuwa kanisa kubwa na lenye nguvu Duniani na Ushawishi usio mashaka,ndio maana mambo yanapokuwa mazito katika taifa lolote lilie basi kanisa huingilia kati kutatua tatizo husika maana ndiyo kanisa ambalo linapoona waumini wake wanapata shida basi huingilia kati,Japo baadhi ya wachambuzi wanaona hili suala ni geni na wanaona ni ajabu kwa kanisa kuingilia mambo ya kisiasa ama kiutawala, maana wanasahau kwamba Kanisa la Kikatoliki ni taasisi iliyokamilika katika kila Idara wana kila kitu ambacho Serikali yoyote iliyopo madarakani inapaswa kuwa nacho,kwa sasa Kanisa la katoliki lina waumini wasiopunguaa 1.285 Billion Duniani kote uku 49% wanatokea Marekani Kaskazini na Marekani kusini (Latin America) uko ndiko kuna wakatoliki wengi sana kuliko sehemu yoyote ile Duniani mpaka sasa.

Idadi ya waumini wa Kanisa la katoliki Duniani ikiwa inaongeza katika baadhi ya maeneo hususani Amerika na Afrika,hapo hapo waumini wake wamekuwa wakipungua Barani Ulaya,Bara la Afrika kila kukicha waumini wa Kanisa la katoliki wamekuwa wakiongezeka (Biggest Increases) Siku hadi sikuu,Wakati Bara la Ulaya waumini wa kikatoliki wakipunguaa (Big Declines) Afrika ndiyo wanaongezeka kwa kasi kubwa sana, Sensa ya mwaka ya mwaka 2010 na  2016 kutoka Vatcan ni kwamba kutoka waumini Million 45 mwaka 1970 wameongezeka mpaka kufikia idadi ya watu million 176 kufikiaa mwaka 2012, lakini inatazamiwa Idadi hiyo huenda imeongezeka kwenda watu Million 200 kote Barani Afrika mpaka 2018.Kwa Upande wa Afrika Congo ndiyo inaongoza kuwa na waumi wengi wa kikatoliki,mwaka 2012 tayari Congo ilikuwa na waumini zaidi ya Million 37 ila kwa sasa wanasemekana kufika 50.

Hivyo Congo inabaki kuwa taifa lenye waumini wengi zaidi Barani Afrika uku wakishika nafasi ya 9 Duniani kote,Kwa Upande wa Marekani ya kusini, Brazil ndiyo taifa linaongoza kuwa na waumini wengi Zaidi wa kikatoliki Duniani ,ambapo kulingana na Sensa ya Mwaka 2010 Brazil ilikuwa na waumini 150 ila kwa sasa idadi hiyo inasemekana kuongeza hadi kufikiaa 170 million.Na mpaka leo Congo waumini wengi ni Wakatoliki,80% ya watu wa Congo ni Wakatoliki na ndiyo maana tumeshuhudia katika Kanisa la Katoliki likiingia kati harakati za kumuondoa Joseph Kabila madarakani,Kanisa la Katoliki lilianza kuandaa mipango ya kumuondoa Kabila Madarakani mwaka 2015.Hata hivyo kanisa hilo Nchini Congo walifanya maandamano makubwa tarehe 20/12/2016 kumtaka Joseph Kabila kuachia Madaraka maana mda wake ulikuwa umeisha kulingana na katiba ya nchi hiyo.

Waumini wa Kanisa hilo na Upinzani walikumbana na upinzani mkali kutoka kwa Kabila ambapo kulitokea na machafuko makubwa ambapo zaidi ya 200 walijeruhiwa na wengine kupoteza Maisha lakini hata hivyo hawakuishia hapo waliendelea kufanya mazungumzo na Kabila ili kufikia makubaliana na mchango wa Kanisa Ulipekea Kabila kukubali kuachia Madaraka ndani ya siku 500 hatimaye siku hazigandi mnamo tarehe 30/12/2018 uchagu ulifanyika nchini humo.Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (CENI) kupitia mwenye kiti wake Corneille Nanga, mapema tarehe 09/01/2019 ilimtangaza Bwana Felix  Tshisekedi Tishilombo kuwa ndiyo mshindi wa uchaguzi huo na kumuuonesha Tishisekedi kuongoza dhidi ya wagombea wenzake wawili. Mkuu wa tume hiyo bwana Corneille Nangaa amesema kuwa Felix Tishisekedi alipata asilimia 38.57 ya kura zilizopigwa na "anatangazwa kuwa mshindi wa kimyang'anyiro hicho cha Urais nchini humo.

Kwa Mujibu wa katiba ya Kongo inapiga marufuku mtu au taasisi yoyote kutoa matokeo ya uchaguzi isipokuwa tume ya uchaguzi pekee (CENI), kwamujibu wa matokeo hayo Felix Tshisekedi Tishilombo wa chama cha UDPS ameonekana kushinda kwa kupata zaidi ya kura 7 milioni sawa na 38.57%  huku bw Fayulu kutoka muungano wa  LAMUKA akipata kura takriban 6.4 milioni sawa na 34.8% na huku mgombea wa serikali Emmanuel Ramazani Shadary wa chama cha FCC akipata takriban kura 4.4 milioni sawa na 23.8% ya kura zote zilizo hesabaiwa, kati ya wapiga kura million 18 walio piga kura katika uchaguzi huu, Kati ya wakongo milioni 40 walio jiandikisha kupiga kura lakini hata hivyo kanisa la Katoliki lenye wafuasi wengi nchini humu walidai kwamba kuna udanganyifu mkubwa umefanyika.

Hivyo kanisa la katoliki lenye kuonyesha kujiamini na kuw na uhakika kile wanachokifanya walidai wazi kwamba wana ushahidi wa kutosha na aliyeshinda uchaguzi mkuu nchini humo siyo Filex bali ni Martin Fayulu ambaye kulingana na wasimamizi wa kanisa la katoliki zaidi ya elfu 40 waliosimamia kikamilifu Uchaguzi huo walidai kwamba mshindi ni Martin Fayulu na kudai kwamba mpinzani huyo anayeungwa mkono na Pierre Bemba na Moize Katumbi ni kwamba Martin alishinda kwa zaidi ya 61% tofauti na matokeo yaliyotolewa na tume ya uchaguzi nchini humo,Hivyo basi Kanisa la katoliki likipewa chapuo na Ufaransa na pamoja na Marekani wakapingaa matokeo hayo na kutaka Uchunguzi ufanyike.mnamo tarehe 12/01/2012 Kiongozi wa Upinzani nchini Congo alienda kupinga katika mahakama ya Katiba nchini humoo kupinga ushindi wa Filex Tsheseked uku akipewa msaada mkubwa na kanisa la Katoliki nchini humo.

Kanisa la katoliki limekuwa imara sana miaka 2300 iliyopita,kanisa la katoliki limeshirki katika mageuzi mengi sana Barani Ulaya,Na viongozi wengi ambao walionekana kuuwa ama kukandamizani Kanisa hilo hawakuwahi kubaki salama tangu miaka ya nyuma,ni kanisa kubwa na lenye nguvu Duniani.Katika historia ama mageuzi ya kidemokrasia Kanisa la kikatoliki lina mchango kwa kiasi kikubwa mno, limekuwa mstari wa mbele kuhakikisha malengo yanafikiwa limekuwa mstari wa mbele kuhakikisha watu ama waumini wake hawakandamizwi ama kuteseka kwa namna moja ama nyingine.Twende kuangalia mchango wa kanisa la katoliki katika mageuzi ama mapinduzi ya kidemokrasia Duniani na hata sasa na kwa nini nasema kanisa la katoliki ni Idara ama Serikali iliyokamilika.

Mwaka 1620s mpaka mwaka 1230s katika utawala wa King Charls I ambapo utawala wake ulikuwa wa kibabe kuliko kawaida ambapo ilifika hatua alianza kuwaandama na kuwauwa viongozi wa kidini ya kikatoliki.Wakatoliki nchini Uingereza waliamua kuingia kwenye mgogoro mkubwa na mfalme King Charls I baada ya kuona mfalme huyo amekuwa tishio kubwa katika dini ya kikatoliki ,maana mfalme Charls I alikuwa anapambana kufuta dini hiyo ya wakatoliki na kuanzisha au kulipa nguvu kubwa kanisa lake la Church of England ambalo kwa sasa linajukana kama  Anglicana (Church of England).
Lakini mbali na ivoo king charls I uongozi wake ulikuwa na mapungufu makubwa ambayo ilikuwa ngumu kuvimilika,mnamo mwaka 1929 King Charls I alifuta Bunge kwa wa miaka 11,kwa lugha nyepesi alikuwa anaongoza nchi pasipo Bunge na kwa kufanya hivyo alisababisha hali kuwa mbaya ya Uchumi wa nchi kuwa mbaya sana kiuchumi na kiusalama pia kwa ujumla wake.

Kwa kuwa kanisa la katoliki lilikuwa na waumini wengi sana nchini England kwa wakati huo,na viongozi wengi walikuwa Serikalini,na kwa wakati huo Nchi ilikuwa inafanya kazi na Kanisa kwa ukaribu mno, lakini King Charls I aligoma kufanya kazi na Wakatoliki bila kujua kwamba Viongozi wengi waliokuwa katika Serikali yake yeye mwenyewe walikuwa ni Viongozi wa Dini pia na hata walipojaribu kumuonya alikuwa mkali na kuwatimua na ndiyo kipindi ambacho Viongozi wengi wa kanisa la Kikatoliki walikimbilia Marekani ya Kusini.Baada hali nchi kuwa mbaya zaidi waswahili wanasema nyani huwa haonagi Kundule,King Charls I aliamua kuitisha Bunge mwaka 1640 ikumbukwe kwamba Bunge alilifunga mwenyewe mwaka 1629.

Alivyojaribu kuwaita wabunge kuongea nao ili wajadili namna gani wanaweza kutatua kero za taifa la England lakini pia ni pamoja na kukusanya kodi ili utawala wake uendelee kuimarika.Baada ya kufanya hivyo Wabunge na Viongozi wa taifa hilo waligoma kuitikia wito wa King Charls I,Kwa kugha nyepesi ni kwamba walimsusia nchi King Charls I (King Charls I was Abandoned by the Parliament).Baada ya King Charls I kususiwa na Bunge alikosa nguvu na Ushawishi katika taifa la Uingereza (Great Britain) na kwa maana hiyo kila alichokuwa anataka kufanya kilishindikana hivyoo hali hii ilipelekea taifa hilo kuyumba kiuchumi ki amba wana baadhi ya Viongozi hawkutaka kuona hili linatokea kabisa na hata King Charls alichanganyikiwa na kushindwa kujua afanye nini kwa wakati huo isipokuwa aligeuka kuwa mbogo na kuanza kulazimisha watu walipe kodi kwa lazima bila kujua kwamba huo ndiyo mwisho wake ila hakutambua hilo bali aliyendelea kuongoza nchi kibabe.

Twende kwenye mkasa husika na kwa nini Kanisa la Katoliki ni taasisi iliyo kamilika,siku zote ukimya unapokuwa mwingi baina ya wanyonge basi atakaeibuka kuwatetea wanyonge huyo ndiye atakaekuwa mfalme, kamanda na kiongozi wa kanisa la katoliki Oliver cromwel,Oliver Crommwel alizaliwa mnamo tarehe 25/04/1599 kutoka katika jimbo la Huntingdon Uko Uingereza (United Kingdom),Oliver maisha yake yote amekulia na kulelea na kaniaa la katoliki,na yeye mwenyewe kwa asili ametokea katika uko wa Henry VIII na Baba yake mzazi alifahamika kama Thomas Crommwel,ukoo wao wote ni wakatoliki ambapo kwa wakati huo walijulikana kama Porutants (Wafuasi wa kanisa la katoliki) .

Kulingana na utaratibu na uwezo mkubwa wa kujieleza na kuongea kutoka kwa Oliver Cromwell Thomas,kulimfanya mwaka 1628 kutoa hotuba yeye kuvutia mbele ya wafuasi wa kanisa la Katoliki,kutokana na uwezo huo alikuja kuchaguliwa kama mbunge kuanzia mwaka 1628/30 kuwakilisha jimbo la Huntingdon Uko Uingereza.Hakuishia hapo tenaa Bwana Cromwell alichaguliwa tena kwa mara nyingine tenaa mwaka 1640,Oliver Cromwell alipambana sana na Serikali ya King Charls I na alikuwa ni mmoja wa wabunge ambao walikuwepo kwenye mkasa wa kufungiwa kwa Bunge mwaka 1629,hata hivyo Bwana Cromwell Thomas,mbali na kwamba alikuwa mbunge pia alikuwa ni kamanda wa ngazi za juu Uingereza.

Lakini kulingana na uwezo mkubwa wa kuongoza pia Cromwel alikuwa Kiongozi wa kidini hivyo alikuwa na ushawishi Jeshini,alikuwa na Ushawishi Kanisani pia alikuwana Ushawishi Serikalini.mnamo mwaka 1647/48 alianzisha Vita dhidi ya Ufalme wa Charls I ,kwa wakati huo jeshi liligawanyika katika pande mbili,kuna ambao walimuunga mkono Cromwel ambao hawa wengi wao walikuwa wafuasi wa Kanisa la Katoliki waliojulikana kama ROUNDHEADS na wale waliobaki upande wa Charls I ,walifahamika kama THE CAVALIERS,Cromwel aliunda kikosi chake au kikundi cha Siri ambacho kikundi hiki kilikuwa kinaundwa na wakatoliki watupu.

Kikundi hiki cha maporutants ambao walidhamilia kumuondoa King Charls Madarakani kwa vyoyote vile iwe kwa msaada wa Mungu ama kwa msaada wa Shetani,kikosi hicho kilifahamika kama Porutans Religious group lakini pia walifahamika kama Th Diggers,hata hivyo Kamanda Cromwell hakuwa mwenyewe bali alisaidiwa na General Thomas Fairfax na kwa umoja huo basi Oliver Cromwel alimtoa madarakani Charls I,Na mnamo1649 Oliver Crommwel alihidhinisha Kunyongwa kwa Charls I na mapinduzi yale yalifahamika kama Porutants Revokution,kwa lugha nyepesi ni kwamba Porutants ni wafuasi wa kanisa la katoliki.


Kanisa la katoliki ni Taasisi imara na iliyokamika kisawa sawa,kwanza ni vyema kutambua kwamba kanisa hili ni moja ya Kanisa Kongwe Duniani toka karne ya kwanza katika Dunia ya sasa,Ukongwe wa Kanisa hili umejitanabaisha na kujionyesha kwa mda mrefu sasa.Karne ya 5-15 na kuendeleaa kanisa hili lilikuwa limetawala karibia Bara la Ulaya kwa Ujumla wake,pengine lilikuwa na nguvu kwa wakati huo kuliko sasa au pengine sasa lina nguvu zaidi kuliko zamani maana mambo mengi yamekuwa yakifanyika kwa siri na ufanisi mkubwa mno kuliko ilivyokawaida.Kanisa hili limekuwa likishiriki katika maendeleo mbalimbali Ulimwenguni kote na limekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi pia.

Mbali na kwamba Kanisa hili limekuwa likihusika katika kuwaelimisha na kuwalea watu kiroho na kuwalea kimaadili pia, lakini Kanisa hili limekuwa chachu ya kuzalisha Viongozi mbalimbali Duniani kote,limekuwa chachu ya kutatua na kuzuia migogoro mbalimbali ulimwenguni kote,Kanisa la katoliki haliko nyuma Sana kwenye mambo ya Utawala na katika ulimwengu wa kisiasa,wanaweza wasionekana hadharani moja kwa moja ila wamekuwa na Mchango mkubwa katika mageuzi mbalimbali katika nchi tofauti tofauti Duniani.Hata hivyo Kanisa hili limeonekana kuwa na nguvu, kuwa na mchango mkubwa  katika maeneo mbalmbal Duniani kabla na hata sasa,Imekuwa ni kawaida kwa baadhi ya Viongozi kuwazuia Viongozi wa Dini kutoa mawazo yao juu ya jambo fulani,Wapo wengi wakiona kwamba viongozi wa Dini hawapaswi kuingilia mambo ya Kiserikali wanasahau kwamba Kanisa la Katoliki ni taasisi iliyokamilika na kujitosheleza kila Idara.

Kanisa hili lina mfumo mzima na wanafanya kazi kama Serikali yoyote Duniani,Na ndio maana hata Kiongozi mkuu wa Dini hiyo Pope Francis amekuwa akitembelea nchi mbalimbali Duniani pamoja na kutoa mapendekezo pale inapobidi na kuonya pia pale anapoona kuna tatizo,Sasa unaweza ukajiuliza anapata wapi nguvu na mamlaka ya kukosoa ama kukemea pale anapoona mambo hayaendi sawia,ni kwamba Kanisa la Katoliki ni Taasisi kubwa na iliyokamilika,Kanisa hili limekuwa likifanya hivyo kwa mda mrefu sasa kutoka Karn ya 15 mpaka karne ya 21, bado Kanisa hili limeonekana kuwa na nguvu na Ushawishi mkubwa Duniani kwa Sasa maana limejitengenezea mfumo uliobora na uliokamilika mbali na changamoto mbalimbali ambazo wamekuwa wakipitia changamoto katika kutekeleza Majukumu yao.

Kanisa hili kwa sasa ndiyo kanisa lenye waumini wengi Duniani kuliko dhehebu lingine lolote  Duniani,Kanisa hilo lipo karibia katika kila nchi hapa Duniani,japo linapata upinzani Kutoka Korea Kaskazi ambapo halipo Kabisa japo kuna ambao wanadai linawaumini 800 na hii ni  kulingana na utafiti wa mwaka 2017-2018, japo pia kuna taarifa kwamba hakuna waumini kabisa na hata kama wapo Basi hawataki kufahamika hakika,Lakini piaa lina wafuasi Nchini Nchina ila wamekuwa wakifuatiliwa vikali na maofisa wa Usalama wa taifa hilo ambao hawataki kuona kanisa hilo linafanya shuguli zake Nchini humo,Kwa ujumla ni asilimia 12% ya wakatoliki wote Duniani kulingana na sensa iliyofanywa na Vatican mwaka 2016/17 Hivyoo hii inaonyesha wazi kwamba Kanisa lina idadi ndogo sana ya waumini Barani Asiaa tofauti na maeneo Mengine Duniani kote.

Bado linabaki kuwa kanisa kubwa na lenye nguvu Duniani na Ushawishi usio mashaka,ndio maana mambo yanapokuwa mazito katika taifa lolote lilie basi kanisa huingilia kati kutatua tatizo husika maana ndiyo kanisa ambalo linapoona waumini wake wanapata shida basi huingilia kati,Japo baadhi ya wachambuzi wanaona hili suala ni geni na wanaona ni ajabu kwa kanisa kuingilia mambo ya kisiasa ama kiutawala, maana wanasahau kwamba Kanisa la Kikatoliki ni taasisi iliyokamilika katika kila Idara wana kila kitu ambacho Serikali yoyote iliyopo madarakani inapaswa kuwa nacho,kwa sasa Kanisa la katoliki lina waumini wasiopunguaa 1.285 Billion Duniani kote uku 49% wanatokea Marekani Kaskazini na Marekani kusini (Latin America) uko ndiko kuna wakatoliki wengi sana kuliko sehemu yoyote ile Duniani mpaka sasa.

Idadi ya waumini wa Kanisa la katoliki Duniani ikiwa inaongeza katika baadhi ya maeneo hususani Amerika na Afrika,hapo hapo waumini wake wamekuwa wakipungua Barani Ulaya,Bara la Afrika kila kukicha waumini wa Kanisa la katoliki wamekuwa wakiongezeka (Biggest Increases) Siku hadi sikuu,Wakati Bara la Ulaya waumini wa kikatoliki wakipunguaa (Big Declines) Afrika ndiyo wanaongezeka kwa kasi kubwa sana, Sensa ya mwaka ya mwaka 2010 na  2016 kutoka Vatcan ni kwamba kutoka waumini Million 45 mwaka 1970 wameongezeka mpaka kufikia idadi ya watu million 176 kufikiaa mwaka 2012, lakini inatazamiwa Idadi hiyo huenda imeongezeka kwenda watu Million 200 kote Barani Afrika mpaka 2018.Kwa Upande wa Afrika Congo ndiyo inaongoza kuwa na waumi wengi wa kikatoliki,mwaka 2012 tayari Congo ilikuwa na waumini zaidi ya Million 37 ila kwa sasa wanasemekana kufika 50.

Hivyo Congo inabaki kuwa taifa lenye waumini wengi zaidi Barani Afrika uku wakishika nafasi ya 9 Duniani kote,Kwa Upande wa Marekani ya kusini, Brazil ndiyo taifa linaongoza kuwa na waumini wengi Zaidi wa kikatoliki Duniani ,ambapo kulingana na Sensa ya Mwaka 2010 Brazil ilikuwa na waumini 150 ila kwa sasa idadi hiyo inasemekana kuongeza hadi kufikiaa 170 million.Na mpaka leo Congo waumini wengi ni Wakatoliki,80% ya watu wa Congo ni Wakatoliki na ndiyo maana tumeshuhudia katika Kanisa la Katoliki likiingia kati harakati za kumuondoa Joseph Kabila madarakani,Kanisa la Katoliki lilianza kuandaa mipango ya kumuondoa Kabila Madarakani mwaka 2015.Hata hivyo kanisa hilo Nchini Congo walifanya maandamano makubwa tarehe 20/12/2016 kumtaka Joseph Kabila kuachia Madaraka maana mda wake ulikuwa umeisha kulingana na katiba ya nchi hiyo.

Waumini wa Kanisa hilo na Upinzani walikumbana na upinzani mkali kutoka kwa Kabila ambapo kulitokea na machafuko makubwa ambapo zaidi ya 200 walijeruhiwa na wengine kupoteza Maisha lakini hata hivyo hawakuishia hapo waliendelea kufanya mazungumzo na Kabila ili kufikia makubaliana na mchango wa Kanisa Ulipekea Kabila kukubali kuachia Madaraka ndani ya siku 500 hatimaye siku hazigandi mnamo tarehe 30/12/2018 uchagu ulifanyika nchini humo.Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (CENI) kupitia mwenye kiti wake Corneille Nanga, mapema tarehe 09/01/2019 ilimtangaza Bwana Felix  Tshisekedi Tishilombo kuwa ndiyo mshindi wa uchaguzi huo na kumuuonesha Tishisekedi kuongoza dhidi ya wagombea wenzake wawili. Mkuu wa tume hiyo bwana Corneille Nangaa amesema kuwa Felix Tishisekedi alipata asilimia 38.57 ya kura zilizopigwa na "anatangazwa kuwa mshindi wa kimyang'anyiro hicho cha Urais nchini humo.

Kwa Mujibu wa katiba ya Kongo inapiga marufuku mtu au taasisi yoyote kutoa matokeo ya uchaguzi isipokuwa tume ya uchaguzi pekee (CENI), kwamujibu wa matokeo hayo Felix Tshisekedi Tishilombo wa chama cha UDPS ameonekana kushinda kwa kupata zaidi ya kura 7 milioni sawa na 38.57%  huku bw Fayulu kutoka muungano wa  LAMUKA akipata kura takriban 6.4 milioni sawa na 34.8% na huku mgombea wa serikali Emmanuel Ramazani Shadary wa chama cha FCC akipata takriban kura 4.4 milioni sawa na 23.8% ya kura zote zilizo hesabaiwa, kati ya wapiga kura million 18 walio piga kura katika uchaguzi huu, Kati ya wakongo milioni 40 walio jiandikisha kupiga kura lakini hata hivyo kanisa la Katoliki lenye wafuasi wengi nchini humu walidai kwamba kuna udanganyifu mkubwa umefanyika.

Hivyo kanisa la katoliki lenye kuonyesha kujiamini na kuw na uhakika kile wanachokifanya walidai wazi kwamba wana ushahidi wa kutosha na aliyeshinda uchaguzi mkuu nchini humo siyo Filex bali ni Martin Fayulu ambaye kulingana na wasimamizi wa kanisa la katoliki zaidi ya elfu 40 waliosimamia kikamilifu Uchaguzi huo walidai kwamba mshindi ni Martin Fayulu na kudai kwamba mpinzani huyo anayeungwa mkono na Pierre Bemba na Moize Katumbi ni kwamba Martin alishinda kwa zaidi ya 61% tofauti na matokeo yaliyotolewa na tume ya uchaguzi nchini humo,Hivyo basi Kanisa la katoliki likipewa chapuo na Ufaransa na pamoja na Marekani wakapingaa matokeo hayo na kutaka Uchunguzi ufanyike.mnamo tarehe 12/01/2012 Kiongozi wa Upinzani nchini Congo alienda kupinga katika mahakama ya Katiba nchini humoo kupinga ushindi wa Filex Tsheseked uku akipewa msaada mkubwa na kanisa la Katoliki nchini humo.

Kanisa la katoliki limekuwa imara sana miaka 2300 iliyopita,kanisa la katoliki limeshirki katika mageuzi mengi sana Barani Ulaya,Na viongozi wengi ambao walionekana kuuwa ama kukandamizani Kanisa hilo hawakuwahi kubaki salama tangu miaka ya nyuma,ni kanisa kubwa na lenye nguvu Duniani.Katika historia ama mageuzi ya kidemokrasia Kanisa la kikatoliki lina mchango kwa kiasi kikubwa mno, limekuwa mstari wa mbele kuhakikisha malengo yanafikiwa limekuwa mstari wa mbele kuhakikisha watu ama waumini wake hawakandamizwi ama kuteseka kwa namna moja ama nyingine.Twende kuangalia mchango wa kanisa la katoliki katika mageuzi ama mapinduzi ya kidemokrasia Duniani na hata sasa na kwa nini nasema kanisa la katoliki ni Idara ama Serikali iliyokamilika.

Mwaka 1620s mpaka mwaka 1230s katika utawala wa King Charls I ambapo utawala wake ulikuwa wa kibabe kuliko kawaida ambapo ilifika hatua alianza kuwaandama na kuwauwa viongozi wa kidini ya kikatoliki.Wakatoliki nchini Uingereza waliamua kuingia kwenye mgogoro mkubwa na mfalme King Charls I baada ya kuona mfalme huyo amekuwa tishio kubwa katika dini ya kikatoliki ,maana mfalme Charls I alikuwa anapambana kufuta dini hiyo ya wakatoliki na kuanzisha au kulipa nguvu kubwa kanisa lake la Church of England ambalo kwa sasa linajukana kama  Anglicana (Church of England).
Lakini mbali na ivoo king charls I uongozi wake ulikuwa na mapungufu makubwa ambayo ilikuwa ngumu kuvimilika,mnamo mwaka 1929 King Charls I alifuta Bunge kwa wa miaka 11,kwa lugha nyepesi alikuwa anaongoza nchi pasipo Bunge na kwa kufanya hivyo alisababisha hali kuwa mbaya ya Uchumi wa nchi kuwa mbaya sana kiuchumi na kiusalama pia kwa ujumla wake.

Kwa kuwa kanisa la katoliki lilikuwa na waumini wengi sana nchini England kwa wakati huo,na viongozi wengi walikuwa Serikalini,na kwa wakati huo Nchi ilikuwa inafanya kazi na Kanisa kwa ukaribu mno, lakini King Charls I aligoma kufanya kazi na Wakatoliki bila kujua kwamba Viongozi wengi waliokuwa katika Serikali yake yeye mwenyewe walikuwa ni Viongozi wa Dini pia na hata walipojaribu kumuonya alikuwa mkali na kuwatimua na ndiyo kipindi ambacho Viongozi wengi wa kanisa la Kikatoliki walikimbilia Marekani ya Kusini.Baada hali nchi kuwa mbaya zaidi waswahili wanasema nyani huwa haonagi Kundule,King Charls I aliamua kuitisha Bunge mwaka 1640 ikumbukwe kwamba Bunge alilifunga mwenyewe mwaka 1629.

Alivyojaribu kuwaita wabunge kuongea nao ili wajadili namna gani wanaweza kutatua kero za taifa la England lakini pia ni pamoja na kukusanya kodi ili utawala wake uendelee kuimarika.Baada ya kufanya hivyo Wabunge na Viongozi wa taifa hilo waligoma kuitikia wito wa King Charls I,Kwa kugha nyepesi ni kwamba walimsusia nchi King Charls I (King Charls I was Abandoned by the Parliament).Baada ya King Charls I kususiwa na Bunge alikosa nguvu na Ushawishi katika taifa la Uingereza (Great Britain) na kwa maana hiyo kila alichokuwa anataka kufanya kilishindikana hivyoo hali hii ilipelekea taifa hilo kuyumba kiuchumi ki amba wana baadhi ya Viongozi hawkutaka kuona hili linatokea kabisa na hata King Charls alichanganyikiwa na kushindwa kujua afanye nini kwa wakati huo isipokuwa aligeuka kuwa mbogo na kuanza kulazimisha watu walipe kodi kwa lazima bila kujua kwamba huo ndiyo mwisho wake ila hakutambua hilo bali aliyendelea kuongoza nchi kibabe.

Twende kwenye mkasa husika na kwa nini Kanisa la Katoliki ni taasisi iliyo kamilika,siku zote ukimya unapokuwa mwingi baina ya wanyonge basi atakaeibuka kuwatetea wanyonge huyo ndiye atakaekuwa mfalme, kamanda na kiongozi wa kanisa la katoliki Oliver cromwel,Oliver Crommwel alizaliwa mnamo tarehe 25/04/1599 kutoka katika jimbo la Huntingdon Uko Uingereza (United Kingdom),Oliver maisha yake yote amekulia na kulelea na kaniaa la katoliki,na yeye mwenyewe kwa asili ametokea katika uko wa Henry VIII na Baba yake mzazi alifahamika kama Thomas Crommwel,ukoo wao wote ni wakatoliki ambapo kwa wakati huo walijulikana kama Porutants (Wafuasi wa kanisa la katoliki) .

Kulingana na utaratibu na uwezo mkubwa wa kujieleza na kuongea kutoka kwa Oliver Cromwell Thomas,kulimfanya mwaka 1628 kutoa hotuba yeye kuvutia mbele ya wafuasi wa kanisa la Katoliki,kutokana na uwezo huo alikuja kuchaguliwa kama mbunge kuanzia mwaka 1628/30 kuwakilisha jimbo la Huntingdon Uko Uingereza.Hakuishia hapo tenaa Bwana Cromwell alichaguliwa tena kwa mara nyingine tenaa mwaka 1640,Oliver Cromwell alipambana sana na Serikali ya King Charls I na alikuwa ni mmoja wa wabunge ambao walikuwepo kwenye mkasa wa kufungiwa kwa Bunge mwaka 1629,hata hivyo Bwana Cromwell Thomas,mbali na kwamba alikuwa mbunge pia alikuwa ni kamanda wa ngazi za juu Uingereza.

Lakini kulingana na uwezo mkubwa wa kuongoza pia Cromwel alikuwa Kiongozi wa kidini hivyo alikuwa na ushawishi Jeshini,alikuwa na Ushawishi Kanisani pia alikuwana Ushawishi Serikalini.mnamo mwaka 1647/48 alianzisha Vita dhidi ya Ufalme wa Charls I ,kwa wakati huo jeshi liligawanyika katika pande mbili,kuna ambao walimuunga mkono Cromwel ambao hawa wengi wao walikuwa wafuasi wa Kanisa la Katoliki waliojulikana kama ROUNDHEADS na wale waliobaki upande wa Charls I ,walifahamika kama THE CAVALIERS,Cromwel aliunda kikosi chake au kikundi cha Siri ambacho kikundi hiki kilikuwa kinaundwa na wakatoliki watupu.

Kikundi hiki cha maporutants ambao walidhamilia kumuondoa King Charls Madarakani kwa vyoyote vile iwe kwa msaada wa Mungu ama kwa msaada wa Shetani,kikosi hicho kilifahamika kama Porutans Religious group lakini pia walifahamika kama Th Diggers,hata hivyo Kamanda Cromwell hakuwa mwenyewe bali alisaidiwa na General Thomas Fairfax na kwa umoja huo basi Oliver Cromwel alimtoa madarakani Charls I,Na mnamo1649 Oliver Crommwel alihidhinisha Kunyongwa kwa Charls I na mapinduzi yale yalifahamika kama Porutants Revokution,kwa lugha nyepesi ni kwamba Porutants ni wafuasi wa kanisa la katoliki.